Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,157
Macho hayana pazia. Kama limewekwa mezani front page lazima uisomeNa kila siku unalisoma ....au ni magazeti ya bure ya ofisini/kijiweni maana kama unanunua kwa pesa yako kwanini uteseke
Inaboa sanaHamna namna,endelea kusoma hivyo hivyo
Wewe pia una lihabaHaya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.
Juu Mbinguni!!😎😃😃Yasipofanya hivyo yatafungiwa ni lzm yaimbe utukufu
Siku hizi hakuna habari yoyote kwenye media karibu zote zaidi ya kusifia na kuabudu mfalme jHaya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.
Ukiwa Matawala anaependa kusifiwa hata kwa mambo ya kijinga ujue mtawala huyo hana uwezoHaya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.
Haya magazeti yamekuwa ya kipumbavuUkiwa Matawala anaependa kusifiwa hata kwa mambo ya kijinga ujue mtawala huyo hana uwezo
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Haya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.
Siku hizi nadhani ikulu ndio hufadhili hili gazetiHalafu kampuni ikifa utasikia wakisingizia ni uchumi mbovu sijui ni maendeleo ya internet!
Silisomi, nasomeshwa kwa nguvu.Hivi bado mnalisoma au kulinunu mkuu? Nenda; daily Nation au The Gurdian