Mimi hizi chapati sili, maana zinaUCCM
Toka zamani. Si ni gazeti la serikali.Siku hizi nadhani ikulu ndio hufadhili hili gazeti
Anzisha la kwako, na wewe ufanye hivyo. Halafu lipeleke sokoni, no objection.Haya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.