Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Ndugu wana jukwaa,
Rejea mistake: No one is above law.
Si muda mrefu jukwaa linaenda kuvamiwa na mawindo ya wawindaji wa kutumika.
Mnisamehe sana si nguvu zangu wala uwezo wangu, Bali ni malaika niliopewa ndio wamenituma niseme haya.
Narudia tena ndugu wasomaji hata mkiona ni ujinga mnisamehe nina wajibu wa kuonya na kutoa tahadhari.
Tafadhari chunga vidole na akili yako, jitahidi sana sana kutumia fasihi yenye kiwango kikubwa sana Cha tafsida, na akili nyingi.
Ni desturi baadhi ya jamii hapa Africa hasa mifumo dhaifu hukosa vifua vya kuhimili uhuru wa kukosoana na kukosolewa.
Mungu awape nguvu, hekima, na maarifa yenye tahadhari kubwa sana.
Mungu awafunike kwa ulinzi wake.
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz.
Rejea mistake: No one is above law.
Si muda mrefu jukwaa linaenda kuvamiwa na mawindo ya wawindaji wa kutumika.
Mnisamehe sana si nguvu zangu wala uwezo wangu, Bali ni malaika niliopewa ndio wamenituma niseme haya.
Narudia tena ndugu wasomaji hata mkiona ni ujinga mnisamehe nina wajibu wa kuonya na kutoa tahadhari.
Tafadhari chunga vidole na akili yako, jitahidi sana sana kutumia fasihi yenye kiwango kikubwa sana Cha tafsida, na akili nyingi.
Ni desturi baadhi ya jamii hapa Africa hasa mifumo dhaifu hukosa vifua vya kuhimili uhuru wa kukosoana na kukosolewa.
Mungu awape nguvu, hekima, na maarifa yenye tahadhari kubwa sana.
Mungu awafunike kwa ulinzi wake.
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz.