Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,121
Haya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too much. Yanatuboa sisi wasomaji.