Gazeti la An-Nuur na Kuchochea Ugaidi

Status
Not open for further replies.
Mkuu wangu sasa hapa ndipo unapopotea kwa sababu hata elimu dunia imeanza kwa waarabu.. Hawa waarabu walikuwa na University kabla hata ya Uingereza. Je, unataka kutuambia tusiende shule kwa sababu elimu hii ilianza kwa waarabu?
Elimu ilianza kabla ya madrasa baba..najua kwa sababu ya dini yako uliorithishwa lazma utafanya ya muwamba ngoma.. Ukifuatilia historia ya formal education huezi ukatoa conclusion fyongo kwamba elimu ilianzia Uarabuni..it is either unatawaliwa na prejudices, ignorance au ARabic culture overzealotry.
 
Hata ukijipendekeza na kuwaelewasha vipi hao ni makondoo hawatakuelewa wala hawatakupenda period..kuna mtu anayejipendekeza kwa makristo kama JK lakini ameishia kutukanwa..<br />
<br />
Lugha moja tu wanaelewa ...jino kwa jino wanaogopa vita kama wanawake
<br />
<br / Wewe usiyeogopa vita na kujiona ni mwanaume ushapigana vita ngapi? Huo ndio upumbavu na ujuha tunaouzungumzia halafu tukisema ooh!mnatutukana! Tatizo vichwa vyenu vimejaa ugumu wa kufikiri kiasi cha kufananisha ukatili na ujasiri na kunadhani ni kitu kimoja!
 
Safin sana mafundisho ya sunday school yamekukolea sana
You r funny..I have been raised in the hood and all that sh!t dawg..Najua mambo yote hayo (a.k.a........he he he), kuzamia hitma, kuomba ela kipindi cha Ramadhan, ndoa za mikeka, nk nk nk.
 
<br />
<br / Wewe usiyeogopa vita na kujiona ni mwanaume ushapigana vita ngapi? Huo ndio upumbavu na ujuha tunaouzungumzia halafu tukisema ooh!mnatutukana! Tatizo vichwa vyenu vimejaa ugumu wa kufikiri kiasi cha kufananisha ukatili na ujasiri na kunadhani ni kitu kimoja!

Ha ha ha! ukishajua inakusaidia nini?

Kuna ukatili kuliko kumpiga mwanamke mkuu wa wilaya?

Kichwa chako ndicho chenye matatizo..unashindwa kuelewa kuwa haki na dhuluma haziwezi kuondolewa bila vita..kwa masheikh wanatakiwa wapongezwe na wafanya jitahada kuandaa huo mkakati
 
You r funny..I have been raised in the hood and all that sh!t dawg..Najua mambo yote hayo ya kuosha maiti(a.k.a........he he he), kuzamia hitma, kuomba ela kipindi cha Ramadhan, ndoa za mikeka, nk nk nk.

Kama ulivyofundishwa huko sunday school au siyo? ume-qualify sana..
 
Mkuu wangu unachoshindwa kuelewa ni kwamba mimi nayeamini Mungu mmoja ni mjinga na Mpumbavu hivyo inaeleweka, isipokuwa wewe unayeamini Yesu ni Mungu, msomi usiyekuwa na upumbavu ndio nataka unieleze ktk elimu yako hii kitu umeipata wapi?..Kitu mnachojaribu kuaminisha watu ni kwamba Waislaam ni wajinga hawakusoma lakini ujinga na upumbavu naousoma humu unanipa shaka zaidi na hizo elimu zenu.<br />
By the way, metaphysics ni sayansi tayari na naweza kuthibitisha kuwepo kwa Mungu kisayansi - nitafute kwa muda wako!
<br />
<br />
Ni vigumu kukuelewesha, naomba uelewe sijakuita mjinga. Kama unaweza kuthibtisha kisayansi Mungu yupo naomba unitajie ni wanasayansi gani ambao wameshafanya test za kisayansi na wakathibtisha hivyo? Lini na wapi? Wakati unaeleza hayo zingatia kanuni mbili za kisayansi ambazo ni universality yaani kila test ya sayansi lazima ikubalike dunia nzima, test hiyo ikifanyika tanzania italeta majibu sawa ikifanyika Dubai. Kanuni nyingine ni repetability kwamba mwanasayansi yoyote akifuata fomula ya mwanasayansi wa kwanza aliyemgundua Mungu naye pia atamgundua Mungu kwa kutumia fomula hiyo. Kwa sababu hiyo kama unaweza kumgundua Mungu kisayansi unaweza hata kumshika na kumuona hiyo ndiyo sayansi physics vinginevyo ni metaphysics ikiwa na maana ni vitu ambavyo huwezi kuthibtisha kisayansi.
 
Elimu ilianza kabla ya madrasa baba..najua kwa sababu ya dini yako uliorithishwa lazma utafanya ya muwamba ngoma.. Ukifuatilia historia ya formal education huezi ukatoa conclusion fyongo kwamba elimu ilianzia Uarabuni..it is either unatawaliwa na prejudices, ignorance au ARabic culture overzealotry.
Mkuu wangu tunabishana kitu gani hapa... wewe msomi unaelewa vizuri kuhusu elimu iliyokuwa ikitolewa enzi za Mesopotamia (what is now Iraq, Syria,Turkey and Iran) Na mataifa kama Uingereza na Ulaya, haya ni mataifa mapya na huwezi kulinganisha kabisa na nchi za Asia ktk misingi tunayozungumzia hapa..Dini zote zimeikuta elimu dunia na wale waliotutangulia kusoma sote hawakuwa Waislaam wala wakristu bali waarabu na lazima tukubali kwamba walileta elimu dunia.

Kifupi ni hivi, wengi wenu mnaipima elimu kwa ngazi zake nikiwa na maana kama baba yako alisoma hadi darasa la nne na wewe umefika Univerisy haina maana aliyeanza kusoma ni wewe bali ni baba yako aliyefika darasa la nne. Hii ndiyo maana yangu au niseme argument yangu. Pengine hata sisi wazazi wetu wa Kiafrika walikuwa na elimu zao, maandishi yao na kadhalika lakini maadam hatuna uthibitisho ni lazima tukubaliane na ushuhuda uliopo na ktk kufanya hivyo ndivyo tunavyoweza kuendelea mbele. Hivi kwani ukikubali mwarabu ndiye aliyeanzisha elimu dunia wewe utakuwa umepungukiwa kitu gani?
 
Kama ulivyofundishwa huko sunday school au siyo? ume-qualify sana..
Na kanisani nilienda sana kuepa viboko vya bi.mkubwa..ila nashkuru exposure nloipata uswazi inanisaidia kukava engo zote za maisha. Unlike u ambaye umetoka kapa.
 
Nchi iendelee vipi viongozi wote na wataalamu wamesomea st. pingirimavi na seminary.mavi etc...<br />
<br />
Hilo tatizo likiisha nchi itaendelea vinginevyo tunajaza maji kwenye kinu..kuna padre moja mwizi wa wake za watu ndio kabisa ataturudisha miaka mia tano nyuma pole.
<br />
<br / Pia kuna shekh mmoja kazi yake yeye ni kuwaruka ukuta wake za watu,hajali ni dini gani yeye huruka tu! Kwa hiyo hii ndio jihad au siyo? Mi nadhani anaichochea sodoma na gomola na anaturudisha nyuma kiimani miaka milioni kadhaa iliyopita!
 
Wewe Ndugu yetu TROPICAL,

Hebu kaa pembeni kidogo, unakera sana kutetea maneno ya gazeti la Al Anur. Hayo ni maneno ya kukemewa zaidi na zaidi. Wasisingizie jina la UISLAMU maana tunaelewa fika kuwa ni dini ya amani na kwamba wala hawafungamani na kitu chochote UGAIDI ndani na au nje ya mipaka yetu.

Kama hauwezi kubadili fikra zako ukaandika kama GREAT THINKER humu basi acha kutujazia bure kurasa humu. Seriously take note of that.



QUOTE=Topical;2505910]Ha ha ha! ukishajua inakusaidia nini?

Kuna ukatili kuliko kumpiga mwanamke mkuu wa wilaya?

Kichwa chako ndicho chenye matatizo..unashindwa kuelewa kuwa haki na dhuluma haziwezi kuondolewa bila vita..kwa masheikh wanatakiwa wapongezwe na wafanya jitahada kuandaa huo mkakati[/QUOTE]
 
Tusilaumiane, hawa wakora tatizo lao kubwa ni shule , huo ugaidi wataanzia huko misikitini kulipuana.
 
Mkuu wangu tunabishana kitu gani hapa... wewe msomi unaelewa vizuri kuhusu elimu iliyokuwa ikitolewa enzi za Mesopotamia. Na mataifa kama Uingereza na Ulaya, haya ni mataifa mapya na huwezi kulinganisha kabisa na nchi za Asia ktk misingi tunayozungumzia hapa..Dini zote zimeikuta elimu dunia na wale waliotutangulia kusoma sote hawakuwa Waislaam wala wakristu bali waarabu na lazima tukubali kwamba walileta elimu dunia.

Kifupi ni hivi wengi wenu mnaipima elimu kwa ngazi zake nikiwa na maana kama baba yako alisoma hadi darasa la nne na wewe umefika Univerisy haina maana aliyeanza kusoma ni wewe bali ni baba yako aliyefika darasa la nne. Hii ndiyo maana yangu au niseme argument yangu. Pengine hata sisi wazazi wetu wa Kiafrika walikuwa na elimu zao, maandishi yao na kadhalika lakini maadam hatuna uthibitisho ni lazima tukubaliane na ushuhuda uliopo na ktk kufanya hivyo ndivyo tunavyoweza kuendelea mbele. Hivi kwani ukikubali mwarabu ndiye aliyeanzisha elimu dunia wewe utakuwa umepungukiwa kitu gani?
Nachelea kupotezeana muda hapa maana unaogelea kwene bahari usiojua kina chake. Nachoweza kusema ni kwamba huezi kutoa bold conclusion kwamba elimu ilianza mahali flani, maana ukisema hivyo manake sehemu nyingine za dunia walikuwa wanaishije? Elimu ni nini? Elimu ni skills za kurahisisha maisha..this is commonsense 101.
 
Na kanisani nilienda sana kuepa viboko vya bi.mkubwa..ila nashkuru exposure nloipata uswazi inanisaidia kukava engo zote za maisha. Unlike u ambaye umetoka kapa.

Exposure yangu ni kubwa kupita wewe mara nying nina weza bet!
 
Wewe Ndugu yetu TROPICAL,

Hebu kaa pembeni kidogo, unakera sana kutetea maneno ya gazeti la Al Anur. Hayo ni maneno ya kukemewa zaidi na zaidi. Wasisingizie jina la UISLAMU maana tunaelewa fika kuwa ni dini ya amani na kwamba wala hawafungamani na kitu chochote UGAIDI ndani na au nje ya mipaka yetu.

Kama hauwezi kubadili fikra zako ukaandika kama GREAT THINKER humu basi acha kutujazia bure kurasa humu. Seriously take note of that.



QUOTE=Topical;2505910]Ha ha ha! ukishajua inakusaidia nini?

Kuna ukatili kuliko kumpiga mwanamke mkuu wa wilaya?

Kichwa chako ndicho chenye matatizo..unashindwa kuelewa kuwa haki na dhuluma haziwezi kuondolewa bila vita..kwa masheikh wanatakiwa wapongezwe na wafanya jitahada kuandaa huo mkakati
[/QUOTE]

Kema wanaodhulumu kabla hujakemea wanaodai haki zao, wanaohamsisha na kuamsha waislamu kuamka na kujitambua..hongera annur.
 
<br />
<br />
Ni vigumu kukuelewesha, naomba uelewe sijakuita mjinga. Kama unaweza kuthibtisha kisayansi Mungu yupo naomba unitajie ni wanasayansi gani ambao wameshafanya test za kisayansi na wakathibtisha hivyo? Lini na wapi? Wakati unaeleza hayo zingatia kanuni mbili za kisayansi ambazo ni universality yaani kila test ya sayansi lazima ikubalike dunia nzima, test hiyo ikifanyika tanzania italeta majibu sawa ikifanyika Dubai. Kanuni nyingine ni repetability kwamba mwanasayansi yoyote akifuata fomula ya mwanasayansi wa kwanza aliyemgundua Mungu naye pia atamgundua Mungu kwa kutumia fomula hiyo. Kwa sababu hiyo kama unaweza kumgundua Mungu kisayansi unaweza hata kumshika na kumuona hiyo ndiyo sayansi physics vinginevyo ni metaphysics ikiwa na maana ni vitu ambavyo huwezi kuthibtisha kisayansi.
Msomi wewe unashangaza sana.. Sasa ikiwa sayansi inaamini kuwepo kwa metaphysics halafu wewe unauliza swali nje ya metaphysics, wanitaka mimi ni prove kitu kwa kutumia direct experience zenye material reality - Kweli hivi ndivyo ulivyofundishwa?..Nionyeshe wewe mahala sayansi inapingana na kuwepo kwa metaphysics kwanza.. halafu swala la Mungu nimesema nitafute kwa muda wako - I will prove to you!
 
Tusilaumiane, hawa wakora tatizo lao kubwa ni shule , huo ugaidi wataanzia huko misikitini kulipuana.

Wewe umesoma shule gani vile..

Hakuna ugaidi aliyeleta mada akili yake ndogo, hawezi elewa mwandishi ameandika nini....kwakuwa amajazwa roho ya chuki kwa waislamu kwenye ile jumuia yake.
 
Nachelea kupotezeana muda hapa maana unaogelea kwene bahari usiojua kina chake. Nachoweza kusema ni kwamba huezi kutoa bold conclusion kwamba elimu ilianza mahali flani, maana ukisema hivyo manake sehemu nyingine za dunia walikuwa wanaishije? Elimu ni nini? Elimu ni skills za kurahisisha maisha..this is commonsense 101.
Ingekuwa hivyo tusingeenda shule!
 
Nikisoma maandishi yako naona bado ume-stuck kwene karne ya 6-7. Sasa utakuwa na exposure gani? we ni mzigo kwa kizazi hiki.

wewe huwezi elewa maandishi yangu kwakuwa akili yako iko low..affected by st. pingirimavi plus sunday school studies..no more than daily/sunday mass attendance ..

Ukizingatia pia mawazo yako managed na padre aliyekosomesha bure...so mawazo tegemezi..wapi na wapi na mtu aliyesoma kwa juhudi zake mwenyewe mkuu..
 
Mimi naamini kwamba Ukristo kama dini si kitu kibaya; lakini nadhani biblio iliandikwa majuha wakisaidiwa na watakatifu feki ambao walichomokea mistari ya kishetani..kweli wewe unafikira za matope
<br />
<br />
KHE! PUNGUZA JAZBA, YAANI UNAONGEA MPAKA POVU MDONI LAKUTOKA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom