Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Elimu ilianza kabla ya madrasa baba..najua kwa sababu ya dini yako uliorithishwa lazma utafanya ya muwamba ngoma.. Ukifuatilia historia ya formal education huezi ukatoa conclusion fyongo kwamba elimu ilianzia Uarabuni..it is either unatawaliwa na prejudices, ignorance au ARabic culture overzealotry.Mkuu wangu sasa hapa ndipo unapopotea kwa sababu hata elimu dunia imeanza kwa waarabu.. Hawa waarabu walikuwa na University kabla hata ya Uingereza. Je, unataka kutuambia tusiende shule kwa sababu elimu hii ilianza kwa waarabu?