Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Sijaona chochote cha kujielimisha kutoka kwa post yako wala ya Pasco. Pole ikurudie wewe mwenyewe, maana nimesheheni maarifa ya kutosha kuhusu hizi mada za dini zenu za kuchonga, na sijaona force ya kunitisha hapa.Kumbe Abdulhalim upeo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo mno ee? Hata alichoongea Pasco hukukielewa, pia hujui kwa nini hizo aeiou unaziita herufi za irabu, inavyoonyesha pia hujui kuwa alphabetical imetokana na Alif Bee Tee Cee ambazo ni purely arabic harf. Sikuwahi kufikiria kuwa ni mdogo hivyo kiupeo. Any way-ndo jf mkuu, jielimishe pia kupitia kwayo.