<br />Nalianzisha vagi -<br />
Jamani ebu nifahamisheni kitu kimoja, nashindwa sana kuwaelewa Makristo. <br />
Viongozi wa Chadema wanapokuwa majukwaani husema maneno kama haya na hata wanachama wa CDM husema maneno haya haya dhidi ya CCM na serikali, inakuwaje ni makosa kwenu wanaposema Waislaam? <br />
<br />
Halafu kwa nini matusi yanawatoka sana kuwatukana waislaam kuwa wajinga hawana elimu dunia isipokuwa ya madrasa na kadhalika hivi nyie mmeelimika kitu gani? - Kuamini kwamba Yesu ni Mungu? <br />
Haya sawa sisi wajinga, wapumbavu na kadhalika - Nyie mlosoma nambieni ni ktk kutumia elimu gani ya dunia (Sayansi) mtu anaweza kuamini Yesu ni Mungu?
<br / Wewe naona hii mada ni kubwa sana kwako ni bora ukalale kama huna cha kufanya maana unaropoka tu kama uliyeamshwa toka uzingizini!