Gazeti la An-Nuur na Kuchochea Ugaidi

Gazeti la An-Nuur na Kuchochea Ugaidi

Status
Not open for further replies.
leta habari yote, hizo statement who has proven?, gazeti la tarehe ngapi, wakela ni nani? au ni wewe ndo unachochea kwa kusoma out of context?
 
Nalianzisha vagi -<br />
Jamani ebu nifahamisheni kitu kimoja, nashindwa sana kuwaelewa Makristo. <br />
Viongozi wa Chadema wanapokuwa majukwaani husema maneno kama haya na hata wanachama wa CDM husema maneno haya haya dhidi ya CCM na serikali, inakuwaje ni makosa kwenu wanaposema Waislaam? <br />
<br />
Halafu kwa nini matusi yanawatoka sana kuwatukana waislaam kuwa wajinga hawana elimu dunia isipokuwa ya madrasa na kadhalika hivi nyie mmeelimika kitu gani? - Kuamini kwamba Yesu ni Mungu? <br />
Haya sawa sisi wajinga, wapumbavu na kadhalika - Nyie mlosoma nambieni ni ktk kutumia elimu gani ya dunia (Sayansi) mtu anaweza kuamini Yesu ni Mungu?
<br />
<br />
 
Ah Mukandara, sidhani kama ni muhimu kwenda kwenye arguments za Ukristo vs Uislam au Makristo vs Waislam kwenye hii thread. Nahisi wewe ni muumini wa dini ya kiislam reasonable, na kama ni hivyo ni lazima utakuwa unakubaliana na mimi kwamba lile gazeti la an-nuur wanavuka mipaka ya uhuru wa maoni kikatiba. Kama huwezi kuliona hilo basi hakuna tumaini kabisa miongoni mwa jamii ya watanzania wenzetu waislam. Kila muislam yeyote sensible anapaswa kukataa ideologies za hawa watu wa an-nuur. Hawako realistic, hawako kiamani, hawako kiislam. Hawatetei maslahi ya waislamu bali wanataka kutumia jukwaa la dini ya kiislamu kujijengea cheap popularity kwa migongo ya waislamu wachache wanaopandikizwa hisia za kujihisi wanaonewa na serikali au wakristo. Jamani mbona hii serikali ni yenu nyie waislam? na mbona wakristo ni ndugu zenu, jirani zenu, wanapanga kwenye nyumba zenu, mnapanga kwenye nyumba zao, wananunua kwenye maduka yenu na mnanunu kwenye maduka yao? Hamuoni kwamba hawa an-nuur si watu wema kwa pande zote mbili?
Mimi nakuelewa sana na nimewasoma Alnuur kama ulivyowasoma wewe. Kinachonishinda kuelewa ni pale mnapowashambulia waislaam na Masheikh wao kwa sababu ya gazeti hili. Kwa mfano mtoa mada hii hakueleza mwanzo wa makala hii ila kachagua baadhi ya ujumbe kuonyesha ubaya wa Uislaam jambo ambalo naweza kabisa kuchambua hotuba za viongozi wa Kikristu, CDM au CUF na nikaziweka kama ni uchochezi. Na zaidi ya hapo gazeti hili halimilikiwi na taasisi yoyote ya kiislaam isipokuwa kundi la watu ambao naweza kusema ni wapambe wa CUF na kwa kutumia dini yao wanachukua jukumu la Kiroho kupingana na utawala dhalimu. Na hakika ukisoma maelezo yaliyotangulia hapo juu hayana tofauti kabisa na hilo gazeti la Alnuur kwa jinsi mnavyoushambulia Uislaam...Hivyo makosa mawili hayawezi kutupa jibu SAWA..

Ni muhimu kwenu nyie kuwasikiliza badala ya kuwapuuza kwa sababu yasemwayo yapo na yanaendelea kufanyika. Unaposhindwa kuamini kuwepo kwa matatizo haya ndiko kulikoizamisha hata meli ya Spice Island na wakafa watu wasiokuwa na hatia kabisa..Licha ya hivyo our enemy ni mmoja na sioni tofauti kabisa baina ya mtu anayekwambia mkeo anatembea na rafiki yako na yule anayekwambia twende tukamfanyie rafiki yako anayetembea na Mkeo. Ujumbe ni mmoja kukutaarifu nani mkosa wako sasa ni jukumu lako wewe kufanya maamuzi yenye busara.

Jambo moja nalopinga mimi siku zote ni hizi taasisi za kidini kuingilia maswala ya siasa lakini Alnuur sio taasisi wala gazeti la chombo chochote cha Waislaam hivyo kuwashambulia waislaam na uongozi wake wa kidini ni propaganda zenu Makristo dhidi ya Uislaam kama mlivyofundishwa kuukana Uislaam.

Hao Alnuur hawakuanza jana wapo miaka kibao na tunawasoma kama tunavyoyasoma magazeti mengine yakiutukana Uislaam na hata chama cha Chadema kiasi kwamba leo hii inaaminika CUF ni chama cha Waislaam. Zote hizi ni propaganda na mnapozidi kuonyesha chuki yenu dhidi ya Waislaam kwa sababu nyie ni Wakristu na wanaChadema ndivyo mnavyodhihirisha Ukristu wenu sambamba na Uchadema. Majibu yenu hapa JF yanaonyesha wazi tatizo lipo na tusilidharau kwa sababu kuwaita waislaam wajinga wapumbavu na kutumia mifano ya maisha ya watu ktk nchi za kiislaam inaonyesha dhahiri jinsi mlivyokuwa na chuki kubwa kwa Uislaam na wala sii hili gazeti la Alnuur. Hii ni sababu tu ya kufungua hasira zenu dhidi ya Uislaam.

Hata hivyo wanayoyafanya waislaam huko Misri, Yemen, Libya, Syria, Afghanstan na kadhalika nyie hamna ubavu wa kufanya hivyo kwa sababu ktk Uislaam dini sio jina la mtu au uzaliwa wake bali ni matendo. Kama wewe unawadhalilisha wananchi wako inakuondoa ktk Uislaam na wananchi wana haki ya kukuondoa madarakani hata kama wewe umezaliwa Muislaam.
 
<br />
<br />
Tehe tehe tehe!!!!
Wewe umetumia sayansi gani kujua Allah ni Mungu?
Allah ni neno la kiarabu maana yake ni Mungu kwa kiswahili... Labda wewe msomi nambie tofauti ya God na Mungu ni ipi?
 
Jamani kuna gazeti moja hapa nchini linalomilikiwa na kikundi fulani cha waislam linalotoka mara moja kwa wiki, An-Nuur, lenyewe linajiita Sauti ya Waislam, kila toleo lake ni kuandika makala za kichochezi chochezi tu. Limekaa kishari sana hili gazeti. Mfano toleo la wiki hii limeandika : (Waikela) ataka Waislam kuwa tayari kwa Jihad.

Halafu ndani kuna maneno yafuatayao : «Masheikh wazunguke watutafute tunaotaka kumfia Mwenyezi Mungu, tukishafika watu wachache inatosha, msipoteze muda na wale wasiotaka kukfia Allah (sw), waacheni wabaki na serikali yao. Sina hofu na kwamba Waislam wakiamua wanaweza na wanatisha bila kujali wingi. »



Na tena : « &#8230;watafutwe Waislamu hata kumi tu, kwa ajili ya mwenyezi Mungu kwa ajili ya kukomesha hali hii&#8230; »


My take: Hawa si watu wa kudharau a na haya si maneno ya kupuuza. Hivi ndivyo Al Shabab ya Somalia, Taliban ya Pakistan na Afghanstan na makundi mbalimbali ya kigaidi huko Nigeria na duniani kote yalivyoanza.


Mimi naamini kwamba Uislamu kama Dini si kitu kibaya; Lakini nadhani Korani iliandikwa na Mtume na walichomekea mistari ya kishetani.
 
Msipate tabu, wale woote wanaotaka 'kumfia mnyaaz mmngu', mnaeza kuorodhesha majina yenu na vibali vya polisi, mi mchango wangu utakuwa ni kutafuta na kununua conc. sulfuric acid, kisha nitawawezesha muwahi kwa mola wenu. Mnaonaje wazo hili?
 
Wale waliompiga mkuu wa wilaya, si waliambia na padre wao wafanye hivyo tena kwa mwana mama wangekuwa wa maana wangeshughulika na wanaume shame on them
<br />
<br />
Unaona sasa unavojiaibisha?Hivi we unafaidika nini na udini ndani ya siasa??Mbona unashabikia sana?Halafu unapayuka kama juha tu at least basi ungeleta facts!!Umemjibia mkandara swali lake kwa kiwango cha chini mno kudhihirisha libichwa lako lilivyo pumba filled!
 
Mimi naamini kwamba Uislamu kama Dini si kitu kibaya; Lakini nadhani Korani iliandikwa na Mtume akisaidiwa na ambao walichomekea mistari ya kishetani.

Mimi naamini kwamba Ukristo kama dini si kitu kibaya; lakini nadhani biblio iliandikwa wakisaidiwa na watakatifu feki ambao walichomokea mistari ya kishetani..kweli wewe unafikira za matope
 
<br />
<br />
Unaona sasa unavojiaibisha?Hivi we unafaidika nini na udini ndani ya siasa??Mbona unashabikia sana?Halafu unapayuka kama juha tu at least basi ungeleta facts!!Umemjibia mkandara swali lake kwa kiwango cha chini mno kudhihirisha libichwa lako lilivyo pumba filled!

unajiabisha zaidi endelea wewe unafikiri ki...masaburi
 
Nalianzisha vagi -<br />
Jamani ebu nifahamisheni kitu kimoja, nashindwa sana kuwaelewa Makristo. <br />
Viongozi wa Chadema wanapokuwa majukwaani husema maneno kama haya na hata wanachama wa CDM husema maneno haya haya dhidi ya CCM na serikali, inakuwaje ni makosa kwenu wanaposema Waislaam? <br />
<br />
Halafu kwa nini matusi yanawatoka sana kuwatukana waislaam kuwa wajinga hawana elimu dunia isipokuwa ya madrasa na kadhalika hivi nyie mmeelimika kitu gani? - Kuamini kwamba Yesu ni Mungu? <br />
Haya sawa sisi wajinga, wapumbavu na kadhalika - Nyie mlosoma nambieni ni ktk kutumia elimu gani ya dunia (Sayansi) mtu anaweza kuamini Yesu ni Mungu?
<br />
<br />
 
Mimi nakuelewa sana na nimewasoma Alnuur kama ulivyowasoma wewe. Kinachonishinda kuelewa ni pale mnapowashambulia waislaam na Masheikh wao kwa sababu ya gazeti hili. Kwa mfano mtoa mada hii hakueleza mwanzo wa makala hii ila kachagua baadhi ya ujumbe kuonyesha ubaya wa Uislaam jambo ambalo naweza kabisa kuchambua hotuba za viongozi wa Kikristu, CDM au CUF na nikaziweka kama ni uchochezi. Na zaidi ya hapo gazeti hili halimilikiwi na taasisi yoyote ya kiislaam isipokuwa kundi la watu ambao naweza kusema ni wapambe wa CUF na kwa kutumia dini yao wanachukua jukumu la Kiroho kupingana na utawala dhalimu. Na hakika ukisoma maelezo yaliyotangulia hapo juu hayana tofauti kabisa na hilo gazeti la Alnuur kwa jinsi mnavyoushambulia Uislaam...Hivyo makosa mawili hayawezi kutupa jibu SAWA..

Ni muhimu kwenu nyie kuwasikiliza badala ya kuwapuuza kwa sababu yasemwayo yapo na yanaendelea kufanyika. Unaposhindwa kuamini kuwepo kwa matatizo haya ndiko kulikoizamisha hata meli ya Spice Island na wakafa watu wasiokuwa na hatia kabisa..Licha ya hivyo our enemy ni mmoja na sioni tofauti kabisa baina ya mtu anayekwambia mkeo anatembea na rafiki yako na yule anayekwambia twende tukamfanyie rafiki yako anayetembea na Mkeo. Ujumbe ni mmoja kukutaarifu nani mkosa wako sasa ni jukumu lako wewe kufanya maamuzi yenye busara.

Jambo moja nalopinga mimi siku zote ni hizi taasisi za kidini kuingilia maswala ya siasa lakini Alnuur sio taasisi wala gazeti la chombo chochote cha Waislaam hivyo kuwashambulia waislaam na uongozi wake wa kidini ni propaganda zenu Makristo dhidi ya Uislaam kama mlivyofundishwa kuukana Uislaam.

Hao Alnuur hawakuanza jana wapo miaka kibao na tunawasoma kama tunavyoyasoma magazeti mengine yakiutukana Uislaam na hata chama cha Chadema kiasi kwamba leo hii inaaminika CUF ni chama cha Waislaam. Zote hizi ni propaganda na mnapozidi kuonyesha chuki yenu dhidi ya Waislaam kwa sababu nyie ni Wakristu na wanaChadema ndivyo mnavyodhihirisha Ukristu wenu sambamba na Uchadema. Majibu yenu hapa JF yanaonyesha wazi tatizo lipo na tusilidharau kwa sababu kuwaita waislaam wajinga wapumbavu na kutumia mifano ya maisha ya watu ktk nchi za kiislaam inaonyesha dhahiri jinsi mlivyokuwa na chuki kubwa kwa Uislaam na wala sii hili gazeti la Alnuur. Hii ni sababu tu ya kufungua hasira zenu dhidi ya Uislaam.

Hata hivyo wanayoyafanya waislaam huko Misri, Yemen, Libya, Syria, Afghanstan na kadhalika nyie hamna ubavu wa kufanya hivyo kwa sababu ktk Uislaam dini sio jina la mtu au uzaliwa wake bali ni matendo. Kama wewe unawadhalilisha wananchi wako inakuondoa ktk Uislaam na wananchi wana haki ya kukuondoa madarakani hata kama wewe umezaliwa Muislaam.

Hata ukijipendekeza na kuwaelewasha vipi hao ni makondoo hawatakuelewa wala hawatakupenda period..kuna mtu anayejipendekeza kwa makristo kama JK lakini ameishia kutukanwa..

Lugha moja tu wanaelewa ...jino kwa jino wanaogopa vita kama wanawake
 
Yaani mnataka 'kumfilia mnyaaz mmngu' kisa sirikali imekataa kufinance ibada zenu za kuiga kutoka kwa wakoloni? this is hilarious.
 
Hata ukijipendekeza na kuwaelewasha vipi hao ni makondoo hawatakuelewa wala hawatakupenda period..kuna mtu anayejipendekeza kwa makristo kama JK lakini ameishia kutukanwa..

Lugha moja tu wanaelewa ...jino kwa jino wanaogopa vita kama wanawake

Another deluded Muhammedan..hivi wewe umeshashiriki vita ngapi?
 

215. Wanakuuliza watoe nini? Sema: Kheri mnayo itoa ni kwa ajili ya wazazi najamaa na mayatima na masikini na wasafiri. Na kheri yoyote mnayo ifanya MwenyeziMungu anaijua.216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukiakitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. NaMwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.217. Wanakuuliza juu ya kupigana vita katika mwezi mtakatifu. Sema: Kupiganavita wakati huo ni dhambi kubwa. Lakini kuzuilia watu wasende katika Njia yaMwenyezi Mungu na kumkanusha Yeye, na kuzuilia watu wasende kwenye MsikitiMtakatifu na kuwatoa watu wake humo, ni makubwa zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu.Na fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala hawatoacha kupigana nanyi mpakawakutoeni katika Dini yenu kama wakiweza. Na yeyote katika nyinyi akiacha Diniyake akafa naye ni kafiri, basi hao ndio ambao a'mali zao zimeharibika dunianina Akhera. Na hao ndio watu wa Motoni; humo watadumu.218. Hakika wale walio amini na wale walio hama na wakapigania Njia ya MwenyeziMungu, hao ndio wanao taraji rehema za Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu niMwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.219. Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa namanufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Nawanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu​
anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri--
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom