Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Gavana umri wake kisheria usizidi miaka 65, pia anakaa madarakani kwa muda wa miaka 5 anaweza ongezewa muda wa miaka 5 mingine na haruhusiwi kuzidi hapo.
Na tar rasmi ya wao kuondoka kazini ni TAR 07/01

BALALI alikaa miaka 10 (08/0/1998 - 07/01/2008)

BENO NDULU alikaa miaka 10
(08/01/2008 - 07/01/2018)

PROF LUOGA amekaa miaka 5
(08/01/2018 - 07/01/2023)

Hii ni kutokana wakati anateuliwa UMRI WAKE ULIKUWA MIAKA 60 na hivyo haruhusiwi kuzidi miaka 65 KISHERIA
Labda awe umri wake wakati anateuliwa ulikuwa umesogea kiasi kwamba ataweza kumalizia muda akiwa amezidi miaka kadhaa. Na hii hutokea kama ni kwa awamu ya pili ya Uongozi wake.
NB. GAVANA HARUHUSIWI KUZIDI VIPINDI VIWILI VYA MIHULA YA MIAKA 5 KILA MMOJA.

GAVANA UMRI WAKE WA KUSTAAFU NI MIAKA 65 LABDA KWA DHARULA SANA KAMA ILIVYOTOKEA KWA BENO NDULU.
Thanks for this.
P
 
Benki Kuu, ndiyo taasisi inayoitegemewa kuandaa monetary and fiscal policies za nchi yoyote ,
-kwenye mtikisiko wa uchumi duniani uliosababishwa na ugonjwa wa Covid-19 na vita vya Urusi-Ukraine
- Gavana Ni vema akawa mbobezi kwenye masuala ya uchumi na fedha ili aweze kuongea lugha moja na mataifa na taasisi zingine za fedha na uchumi duniani kwenye masuala ya micro na macro economic policies .
-Mamlaka ya uteuzi inawezekana imezingia sifa hizo
-Siku za hivi karibuni Mamlaka za uteuzi zimekuwa zikiteua Gavana wa Benki Kuu kisiasa au kwa mtizamo kuwa ile Ni nafasi ya uongozi, siyo lazima awe mbobezi kwenye masuala ya uchumi na fedha,atasaidiwa na watalaam wa chini yake.
-Kama Gavana ni slow learner huwa kunakuwa na ombwe la kiutendaji kati ya Wasaidizi wake na Gavana.
-Kila la Heri Gavana mpya na kila Heri Gavana mstaafu,kuna maisha baada ya kustaafu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
-sina uhakika kama benki kuu wanahusika na fiscal policy, sheria ya benki kuu inasema benki kuu itahusika na monetary policy ambazo zinahusisha mambo kama foreign exchange rate, lease financing, regulation and supervision of banks, currency issuing, reserve ya foreign currency, reserve ya Gold nk nk
-kuhusu Gavana wa benki kuu kutokuwa mchumi, sheria ya benki kuu imeruhusu hadi Lawyers kuteuliaa kuwa Gavana, na hiyo ni kutokana na sheria hiyo kusema Gavana atasaidiwa na Deputy governors watatu
 
aise!!
mwacheni mzee wa watu akajipumzikie.

Bahati mbaya sana, watumishi wengi wa zamani walikuwa hawajui umri wao sahihi wa kuzaliwa, hueda kwa sasa anamiaka 76, walikuwa wanakisia tu! na kutokana na hali hiyo unaweza kukuta kuwa tuna kastaafu wengi ambao bado wapo kwenye utumishi, akili inataka mwili unagoma kwasababu ya umri mkubwa.

nawashauri wazee ambao umri umesonga na bado wapo wameng'ang'ania nafasi waachie wawapishe vijana.

Sheria zinaruhusu unaweza kuomba kustaafu hata kwa ugonjwa/umri mkubwa.
 
Rais amemteua Gavana mpya Kwa taarifa kwamba aliyekuwepo amemaliza muda wake.

Lakini kiutumishi au kiutendaji kumaliza muda wako kwaweza maanisha kwamba bado ana umri wakuhudumu lakini mkataba wake BOT umeisha hivyo anarejea KAZI yake ya awali.

Au alishastaafu akaongezewa muda na kipindi alichoongezewa kimeisha? Au amestaafu rasmi?

Gavana wa sasa amestaafu au mkataba umeisha? Sheria inasemaje kuhusu ajira na kustaafu au kuondolewa ofisini kwa Gavana? Siyo kama CAG?
Ameumaliza mda wake Ila Rais hajamuongezea term ya pili
 
Rais amemteua Gavana mpya Kwa taarifa kwamba aliyekuwepo amemaliza muda wake.

Lakini kiutumishi au kiutendaji kumaliza muda wako kwaweza maanisha kwamba bado ana umri wakuhudumu lakini mkataba wake BOT umeisha hivyo anarejea KAZI yake ya awali.

Au alishastaafu akaongezewa muda na kipindi alichoongezewa kimeisha? Au amestaafu rasmi?

Gavana wa sasa amestaafu au mkataba umeisha? Sheria inasemaje kuhusu ajira na kustaafu au kuondolewa ofisini kwa Gavana? Siyo kama CAG?
👇
 
Rais amemteua Gavana mpya Kwa taarifa kwamba aliyekuwepo amemaliza muda wake.

Lakini kiutumishi au kiutendaji kumaliza muda wako kwaweza maanisha kwamba bado ana umri wakuhudumu lakini mkataba wake BOT umeisha hivyo anarejea KAZI yake ya awali.

Au alishastaafu akaongezewa muda na kipindi alichoongezewa kimeisha? Au amestaafu rasmi?

Gavana wa sasa amestaafu au mkataba umeisha? Sheria inasemaje kuhusu ajira na kustaafu au kuondolewa ofisini kwa Gavana? Siyo kama CAG?
Yule mzee wa makinikia na vimacho vyake arudi kwa akina Kabudi na Bashiru wakafundishe, takataka kabisa haijalishi kama muda wake umeisha au amestaafu, who cares! Kwani Ndulu alistaafu, si walimwondoa kibabe?
 
ACT SUPPLEMENT
to the Special Gazette of the United Republic of Tanzania No. 3 Vol. 87 dated 8th June, 2006
Printed by the Government Printer, Dar es Salaam, by Order of the Government:

8.–(1) There shall be appointed by the President a Governor who
shall, unless he dies or resigns or vacates or is removed from his office
for good cause or is disqualified, hold office for a period of five years and
shall be eligible for a re-appointment.

(2) No person shall qualify to be appointed as a Governor unless he–
(a) holds a university degree;
(b) has not less than fifteen years experience in the fields of economics,
banking, accountancy or finance or law;
(c) has been in senior managerial positions in the government
departments or institutions, private institutions or international
organizations; and
(d) has not been appointed and served as the Governor for two
Consecutive term.

(3) There shall be appointed by the President three Deputy Governors
who shall, unless one dies, resigns, vacates or is removed from office for
good cause or is disqualified, hold office for a period of five years and be
eligible for re-appointment for a further term of five years only.

(4) The appointment of the Deputy Governors shall be made on the
basis that at least one of the appointees hails from either side of the ....
Rais wangu Samia nampenda sana ila kwa kifungu hiki, amevunja sheria kwa kutompa Prof Luoga miaka 5 mingine.

Kwa tafsiri ya kifungu hiki, ilikuwa lazima Prof Luoga kupewa miaka 5 mingine
 
Back
Top Bottom