Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 2,751
- 5,832
Ili jambo linatakiwa likemewe Magufuli alitaka kulipeleka mpaka jeshi la polisi. Yeye akifurahishwa na kazi ya mtu anaagiza apewe chao papo hapo, Ernest Mangu akamwambia huku tuna mafunzo na taratibu zetu atupandishi tuu watu vyeo.Naunga mkono hoja. Tuna wachumi na wataalamu wengi sana kustahili kuwa Gavana.
Hata Luoga sheria ilikuwa inamlinda kuendelea sijui nani kamshauri Rais amtoe.
Ukiangalia mustakabali wa usalama na maendeleo yetu kiuchumi na hata kimaendeleo huko mbeleni hizi teuzi za mama yetu zinatupa ukakasi sana
Huyu mama anaendeleza hizi tabia. I can see kutaka mtu makini wa kumsaidia Mwigulu kazi wizara ya fedha, ila alikuwa hajui huyo katibu mkuu ampeleke wapi akaona BoT ndio mahala pake.