The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,589
- 14,136
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Mada yahusika,yule Gavana wa BoT aliyeongoza harakati za kupora pesa za Wafanyabiashara amemaliza mda wake wa utumishi pale BoT..si mwingine bali ni Prof.Laurence Luoga.
Rais ana fursa sasa ya kumteua aendelee na nafsi yake au amtumbue astaafu na kurudi kule Kwenye chuo Cha Jalalani.
Maoni yangu kwa kipindi hiki cha Samia ,naona amejitahidi kusimamia Uchumi vizuri hadi kupewa tuzo ya Gavana Bora wa Mwaka..
Mh. Rais ikikupendeza mteue aendelee maana mambo mengine ya hovyo yalikuwa yanafanyika ni kwa sababu za upuuzi wa Jiwe..
Licha ya kwamba ni Mwanasheria ila timu yake inasimamia vizuri sera za Uchumi so aendelee.👇
Mada yahusika,yule Gavana wa BoT aliyeongoza harakati za kupora pesa za Wafanyabiashara amemaliza mda wake wa utumishi pale BoT..si mwingine bali ni Prof.Laurence Luoga.
Rais ana fursa sasa ya kumteua aendelee na nafsi yake au amtumbue astaafu na kurudi kule Kwenye chuo Cha Jalalani.
Maoni yangu kwa kipindi hiki cha Samia ,naona amejitahidi kusimamia Uchumi vizuri hadi kupewa tuzo ya Gavana Bora wa Mwaka..
Mh. Rais ikikupendeza mteue aendelee maana mambo mengine ya hovyo yalikuwa yanafanyika ni kwa sababu za upuuzi wa Jiwe..
Licha ya kwamba ni Mwanasheria ila timu yake inasimamia vizuri sera za Uchumi so aendelee.👇