Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 65
Mama Lao,
Apende asipende he had no choice but to give out money to bail out serikali (CCM)! hata kama angekataa, the next guy was going to face the same dillema and had to either accept what the Government wants or surrender!
Nyinyi mwafikiri ni pesa zinazotoka kirahisi bila ruhusa ya Raisi na Waziri wa Fedha? Nope! Ukirudia mada yangu kuhusu Meremeta utaelewa ni nini kilichotokea. Kibaya zaidi ni kuwa Uchunguzi huu utaleta vurugu mechi ambayo hatutataka kuina kamwe.
When did you see Jeshi being investigated? who has balls to investigate CCM and its arms?
Mwacheni Kondoo wa Kafara atulie huko unyamwezini! The only way for the truth to come out is for CCM loosing the control of parliament in 2010!
Hiyo ripoti itakaliwa Ikulu na Rais atasema kwa Taifa hakuna ushahidi wa Wizi na Sifukuzi Mawaziri!
But collectivelly, we can make the thruth even partial to come out 2011 if we vote more seats to opposition in the parliament!
ok ngoja niifanyie kazi wangu. Na wewe na huku kupotea ndio imekuwaje hadi watu wananiuliza nini kimekusibu.Asante Mwanakijiji kwa hii barua!
This is JF, kila kitu kinapatikana kikiwa bado moto kabisaaa!
Wenye vikorosho wajinyonge but this baby will be here to win.
Kuhusu Balali, Nimesema mengi ya kutosha!
BTW. Hii barua si inaweza kupunguzwa ukubwa. Mkjj jaribu kuadjust size kidogo
ok ngoja niifanyie kazi wangu. Na wewe na huku kupotea ndio imekuwaje hadi watu wananiuliza nini kimekusibu.
Rwabugiri naona hutupendi sasa...
Re: KLHN/JF Exclusive: Barua ya Balali Kujiuzulu
--------------------------------------------------------------------------------
Bowbow, kwanza naona kama "UNAGUSWA" sana na hii mada, toka juzi. ila kwa taarifa ni kwamba:
Hii barua ya sentenso mbili tu bila kichwa cha habari, mie naona kama imeharakishwa, kama vile kuna mtu alikuwa anamsimamia aiandike harakaharaka.
...........
Mimi bado nahisi kalazimiashwa kuresign katika mazingira haya:
1. Amejengewawa Mazingira na mafisadi wenzie kwa maslahi yao.
2. Kwa kitendo chake cha kuwa njee ya ofisi zaidi ya 3months.
3. Alijichukulia madaraka kwenda kutibiwa njee bila idhini ya wakuu wake so wamemshinikiza kuresign.
4. Kapata shinikizo kwa wananchi wanaolilia fedha zao za kodi walizoiba
5. Mengineyo
lakini the only njia ya kuonyesha uzaalendo kuenda mahakamani.