mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,582
Kijiji nilichokulia,wanafunzi tukiwa bado tuna wenge LA nyonya damu,chinja chinja,chuna ngozi,ikaibuka story nyingine kabsaa ambayo mpaka Leo nikikumbuka huwa sins uhakika kama ni kweli au LA,na kama ni uongo mtunzi alijipanga.
Kwanza nakumbuka zikaanza tetesi kuwa kwenye mpaka unaotenganisha kijiji chenye shule tunayosoma na kijiji tunachoishi kuna nyoka mkubwa sana mweusi anaishi kwenye mbuyu mkubwa uliopo eneo hilo.yeye anasuhiri tu upite peke yako anakimbia na ncha ndogo ya mkia mwili wote anausimamisha kivizia kichwa huku anakukimbiza.tukachoka.
Sasa dogo mmoja akaja kutupa mkasa kuwa akiwa anatoka kusaga kijiji cha shule na baiskeli anarudi home,Hamadi!!!!machine inachomoza vichakani sababu baiskeli ulikuwa moto akafanikiwa kulipita,likaanza kumfuata nyuma speed.dogo kasimamia ukucha baiskeli wapi dude linamkaribia tu.akaona isiwe tabu.
Anasema kulikuwa na dimbwi kubwa LA maji barabarani akatupa baiskeli akachumpa ndani ya maji na kuzamia humo,kakaa sekunde kazaa mpaka pumzi zikaisha akaona aibuke kucheki msala.akakuta jembe limemsamehe limeondoka. Akaokota baiskeli yake huku unga wote umelowa.na kurudi home huku anatetemeka.du yaani kuanzia hapo tukawa tunasubiriana wote ndio tunarudi na magongo in case jamaa akitokea.
Nakumbuka mengi mazuri ya wakati ule.
Kwanza nakumbuka zikaanza tetesi kuwa kwenye mpaka unaotenganisha kijiji chenye shule tunayosoma na kijiji tunachoishi kuna nyoka mkubwa sana mweusi anaishi kwenye mbuyu mkubwa uliopo eneo hilo.yeye anasuhiri tu upite peke yako anakimbia na ncha ndogo ya mkia mwili wote anausimamisha kivizia kichwa huku anakukimbiza.tukachoka.
Sasa dogo mmoja akaja kutupa mkasa kuwa akiwa anatoka kusaga kijiji cha shule na baiskeli anarudi home,Hamadi!!!!machine inachomoza vichakani sababu baiskeli ulikuwa moto akafanikiwa kulipita,likaanza kumfuata nyuma speed.dogo kasimamia ukucha baiskeli wapi dude linamkaribia tu.akaona isiwe tabu.
Anasema kulikuwa na dimbwi kubwa LA maji barabarani akatupa baiskeli akachumpa ndani ya maji na kuzamia humo,kakaa sekunde kazaa mpaka pumzi zikaisha akaona aibuke kucheki msala.akakuta jembe limemsamehe limeondoka. Akaokota baiskeli yake huku unga wote umelowa.na kurudi home huku anatetemeka.du yaani kuanzia hapo tukawa tunasubiriana wote ndio tunarudi na magongo in case jamaa akitokea.
Nakumbuka mengi mazuri ya wakati ule.