Fukara
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,624
- 931
Wasalaam wanaJF
Jana nilikuwa nikiangalia kovu nilipoumia kwa kuanguka nilipokuwa shule ya msingi, baada ya wenzangu kusema gari ya nyonya damu inakuja watoto wengi tukakimbia ,mimi na baadhi ya watoto tukaanguka wengi tukaumia.
Wenzangu wa miaka hiyo mnakumbuka hii kasumba?Ila mpaka tunamaliza darasa la saba hatuja wahi kuona gari hiyo ya nyonya damu...wewe unakumbuka nini miaka hiyo ya old is gold?
Wenzangu mnaikumbuka hii?
Jana nilikuwa nikiangalia kovu nilipoumia kwa kuanguka nilipokuwa shule ya msingi, baada ya wenzangu kusema gari ya nyonya damu inakuja watoto wengi tukakimbia ,mimi na baadhi ya watoto tukaanguka wengi tukaumia.
Wenzangu wa miaka hiyo mnakumbuka hii kasumba?Ila mpaka tunamaliza darasa la saba hatuja wahi kuona gari hiyo ya nyonya damu...wewe unakumbuka nini miaka hiyo ya old is gold?
Wenzangu mnaikumbuka hii?