aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,504
hahahahaha alikuwa mwalimu wa hesabu nini
huyo huyo huyo mdau umesoma kaloleni primary Arusha nini kuna boya alikuwa pale ule msimu wa kutufundisha tebo ni bora ujikate na wembe then umuombe unaenda nje kunawa ila akiingia hakuna kutoka mtu kama kunya kunya darasani mdau ilikuwa mabanzi, makofi, fimbo tunachezeshewa kama mahabusu vile though mpaka leo tebo inanizingua