Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,309
- 30,214
- Thread starter
- #81
Hawajui mi mswazi mmbeya no 1!
Hawajui mi mswazi mmbeya no 1!
Vunja sheria upate haki yako.a brother may get fired
Zaidi ya hapo, hapo ni Buguruni na akimgonga na kumuua mlalahoi kama huyo mama anayekatiza utaambiwa hii ni "traffic case", wakati kwa ukweli ni kesi ya mauaji.Mpuz kweli huyu
Ye anafikiri hata ikiwa Gari la serikali au kambeba kigogo ndy avunje sheria
Hvi hpo akingia mtaroni atamlaumu nani
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
hii picha ni nzuri ukiielezea hivyo, but ukienda mahakamani huwezi shinda kesi hapo! haionyeshi gari linatembea, ila limesimama, so dereva anaweza jitetea gari liliharibika akapaki pembeni kuondoa msongamano.
though sio service road, but inaruhusiwa kuweka pembeni mwa barabara
Hawajui mi mswazi mmbeya no 1!
Uko sahihi chief....Zaidi ya hapo, hapo ni Buguruni na akimgonga na kumuua mlalahoi kama huyo mama anayekatiza utaambiwa hii ni "traffic case", wakati kwa ukweli ni kesi ya mauaji.
Binafsiupuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
Watz tunazidi majungu. Kuna siku nilikuwa namkimbiza mwanangu Hosp ya kcmc kutoka mikoa ya kati nilikuwa nakimbia sana. Na kila askari aliyenisimamisha alinielewa sembuse hayo ma STL. Tuwaache hawa wafanye yao ila tuwasaidie kuwa salama.upuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
Mtoa mada kaposti, ndo ufala wa watanzania, kutetea maovu.Binafsi
Watz tunazidi majungu. Kuna siku nilikuwa namkimbiza mwanangu Hosp ya kcmc kutoka mikoa ya kati nilikuwa nakimbia sana. Na kila askari aliyenisimamisha alinielewa sembuse hayo ma STL. Tuwaache hawa wafanye yao ila tuwasaidie kuwa salama.
Kwaio unategemea gari inaweza kupigwa picha na ikaonekana inatembea?hii picha ni nzuri ukiielezea hivyo, but ukienda mahakamani huwezi shinda kesi hapo! haionyeshi gari linatembea, ila limesimama, so dereva anaweza jitetea gari liliharibika akapaki pembeni kuondoa msongamano.
though sio service road, but inaruhusiwa kuweka pembeni mwa barabara
Kuna mazingira unaruhusiwa kuwa juu ya sheria usikariri....if there is a question of life and deathPunguza mipovu jombaa hata awemo waziri, hakuna aliye juu ya sheria sawa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ukinya mtaroni kwa kushikwa na tumbo, paparazi atakutoa tu.hizi simu hizi ? kila kitu kinapigwa picha na kuletwa mitandaoni. Ni daladala ngapi hufanya huo upumbavu wa kutanua ? au kwa vile ni STL ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko unakotanua ukigonga na kuua mtu, ndo utajua andazi sio kitumbua.Kuna mazingira unaruhusiwa kuwa juu ya sheria usikariri....if there is a question of life and death
Unaposema pengine kinadhihirisha kutokuwa na uhakika mkuu. Na ndio majungu hayoMtoa mada kaposti, ndo ufala wa watanzania, kutetea maovu.
Unless hujui maana ya majungu (kutengeneza stori ovu ya kukandamiza bila ushahidi)
Hapa mchana kweupee na picha ya ushahidi juu!
Hapo Buguruni ,pengine hiyo STL mtu anakimbizwa kwa mganga wa kienyeji!
Km Kuna wahuni ni Hawa madereva wa umaBinafsi
Watz tunazidi majungu. Kuna siku nilikuwa namkimbiza mwanangu Hosp ya kcmc kutoka mikoa ya kati nilikuwa nakimbia sana. Na kila askari aliyenisimamisha alinielewa sembuse hayo ma STL. Tuwaache hawa wafanye yao ila tuwasaidie kuwa salama.
Kuna viashiriaa sio kutoka mkukuKuna mazingira unaruhusiwa kuwa juu ya sheria usikariri....if there is a question of life and death
Gari ya CDF na yeye akiwa ndani kila siku inapita on the wrong side of the road, siioni cha ajabu kwenye hiyo gari.View attachment 1039189
Imetokea muda huu, Buguruni
STL 6258.
Si kuvunja sheria tu kwa kutanua kushoto, bali hata kuharibu mabega ya barabara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko unakotanua ukigonga na kuua mtu, ndo utajua andazi sio kitumbua.