Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,610
- 24,850
Imetokea muda huu, Buguruni
STL 6258.
Si kuvunja sheria tu kwa kutanua kushoto, bali hata kuharibu mabega ya barabara.
View attachment 1039189
Imetokea muda huu, Buguruni
STL 6258.
Si kuvunja sheria tu kwa kutanua kushoto, bali hata kuharibu mabega ya barabara.
we ndo mjinga kweli bro, ebu rudia kusoma upuuz wako afu ji-replyupuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
wewe nae, hio ni service road?? unaishi wapi rafikihii picha ni nzuri ukiielezea hivyo, but ukienda mahakamani huwezi shinda kesi hapo! haionyeshi gari linatembea, ila limesimama, so dereva anaweza jitetea gari liliharibika akapaki pembeni kuondoa msongamano.
though sio service road, but inaruhusiwa kuweka pembeni mwa barabara
|wewe nae, hio ni service road?? unaishi wapi rafiki
Mkuuu umesoma vizuri lakiniwewe nae, hio ni service road?? unaishi wapi rafiki
Akikamatwa maswali ya majibu yako yatajulikana. Haina sababu kutukana, kwasababu pia inawezekana kaona tu hafai kukaa kwenye foleni.upuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
Naomba nikuulize swali Mkuuupuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
View attachment 1039189
Imetokea muda huu, Buguruni
STL 6258.
Si kuvunja sheria tu kwa kutanua kushoto, bali hata kuharibu mabega ya barabara.
upuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
Punguza mipovu jombaa hata awemo waziri, hakuna aliye juu ya sheria sawa??
Sent using Jamii Forums mobile app
upuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
Bro na ww ni mmoja wa madereva wa STL nn?upuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu