Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,293
- 30,172
- Thread starter
- #41
Mjinga nini?upuuuzi tu unajua nani yupo ndani, ? kabeba nin? anawahi wapi? nani aneendesha? ..ni kweli hati ya serikali?..is it a matter of life and death?...kam hun majib siku nyingin usipost upuuz kam huu
Mnafikiri hizi barabara zinajengwa kwa hela zenu mdereva wa magari ya umma?
KODI ZETU MSIZICHEZEE!