Mapumziko huku unakanyagia kanyagia mafuta ewe Abiria mara upige pige honi ... Mapumziko yakiisha ni jino moja kutafuta kitongaTunapumzika kwanza halafu tutalianzisha baada ya kutuliza mawazo...
Tuliachana akionekana hajafurahishwa kabisa na kitendo hikiSema abiria wako hakuwa na uvumilivu, mbona hua tunasubiri baada ya muda gari linawaka lenyewe.
Kwahiyo alivyoshuka akarequest bolt au akatembea kurudi alikotoka?
Mkuu kwema muda sana sijakuona jukwaani.Mwongozo ni kwamba, hakikisha gari liko salama kabla hujaanza safari yeyote..na wakati mwingine hofu huleta hizi shida wakati mlipolizima kwa mapumziko ya muda mfupi, mara unajiuliza uliendesha vizuri awamu ya kwanza au ndo udereva wako ulikuwa mbovu. Jaribu kujiamini kwanza
Teh teh nimecheka lakini, asante kwa kuweka kicheko kwenye maisha yangu leo.
Hali ya kawaida tu ila ikiwa mara kwa mara nenda kamuone daktariWasalaam
Nilipata nafasi ya kusafiri na abiria wangu, tumepumzika kituo cha kwanza nataka kuwasha gari tuendelee na safari kukidhi ombi la abiria wangu, gari ikagoma
Tukagusanisha nyaya zote wapi hata cheche hamna.
Hali hii iliniacha kwebye fedheha na simanzi, japo abiria wangu aliomba kushuka huku akijitahidi kukwepa kunilaumu dereva wake,nadhani alinihurumia pia, na kuniambia nisihofu tutapata wasaa mwingine wa kusafiri tena, lakini hali hii imeniumiza sana gari limekuja kuwaka asubuhi nikiwa peke angu
Wasafiri wenzangu naomba mawazo yenu. Mnatumia njia gani kuwash gari na kuwaka punde tu mnapokua mlilizima kwa mapumziko ya muda mfupi.
Asanteni naomba kuwasilisha
Pole sana mkuu, angetakiwa akuelewe imejensi za hivyo zipogo.tuliachana akionekana hajafurahishwa kabisa na kitendo hiki
Mie ilinikuta na abiria wangu alikuwa kama wako,aliniambia tutapata wasaa mwingineWasalaam
Nilipata nafasi ya kusafiri na abiria wangu, tumepumzika kituo cha kwanza nataka kuwasha gari tuendelee na safari kukidhi ombi la abiria wangu, gari ikagoma
Tukagusanisha nyaya zote wapi hata cheche hamna.
Hali hii iliniacha kwebye fedheha na simanzi, japo abiria wangu aliomba kushuka huku akijitahidi kukwepa kunilaumu dereva wake,nadhani alinihurumia pia, na kuniambia nisihofu tutapata wasaa mwingine wa kusafiri tena, lakini hali hii imeniumiza sana gari limekuja kuwaka asubuhi nikiwa peke angu
Wasafiri wenzangu naomba mawazo yenu. Mnatumia njia gani kuwash gari na kuwaka punde tu mnapokua mlilizima kwa mapumziko ya muda mfupi.
Asanteni naomba kuwasilisha
Wewe ndio ulikua abiria wake 🏃Mwongozo ni kwamba, hakikisha gari liko salama kabla hujaanza safari yeyote..na wakati mwingine hofu huleta hizi shida wakati mlipolizima kwa mapumziko ya muda mfupi, mara unajiuliza uliendesha vizuri awamu ya kwanza au ndo udereva wako ulikuwa mbovu. Jaribu kujiamini kwanza
Teh teh nimecheka lakini, asante kwa kuweka kicheko kwenye maisha yangu leo.
Tumia vumbi la kongo. Ukikosa hiyo tumia mchuzi wa pweza na karanga mbichi. Kama halitawa tena uza kama skrepaWasalaam
Nilipata nafasi ya kusafiri na abiria wangu, tumepumzika kituo cha kwanza nataka kuwasha gari tuendelee na safari kukidhi ombi la abiria wangu, gari ikagoma
Tukagusanisha nyaya zote wapi hata cheche hamna.
Hali hii iliniacha kwebye fedheha na simanzi, japo abiria wangu aliomba kushuka huku akijitahidi kukwepa kunilaumu dereva wake,nadhani alinihurumia pia, na kuniambia nisihofu tutapata wasaa mwingine wa kusafiri tena, lakini hali hii imeniumiza sana gari limekuja kuwaka asubuhi nikiwa peke angu
Wasafiri wenzangu naomba mawazo yenu. Mnatumia njia gani kuwash gari na kuwaka punde tu mnapokua mlilizima kwa mapumziko ya muda mfupi.
Asanteni naomba kuwasilisha
Hapana jamani, ningekuwa mimi lazima ningelishtua liondoke...weeee mimi mtaalamu bhanaWewe ndio ulikua abiria wake 🏃
Acha kabisa, kwa baridi la Arusha hakuna mahali napewa nafasi ya kuingia JF, tusubiri tu mkuu maana hili baridi limeshuka kwa hasira na mwendo wa 5G..ila nitajitahidi kueleza hisia za wadau kama wewe kwa mmiliki aweze kunipa nafasi walau kiduchu niingie usiku wa ma8Mkuu kwema muda sana sijakuona jukwaani.
Hata kule usiku wa ma8
Fakamia bamia kwa wazimu woteWasalaam
Nilipata nafasi ya kusafiri na abiria wangu, tumepumzika kituo cha kwanza nataka kuwasha gari tuendelee na safari kukidhi ombi la abiria wangu, gari ikagoma
Kijana tiakurudisha BurundiGari yangu bdo mpya haya matatizo haijaanza, ngoja tuwasubiri wenye magari mabovu kama wewe.