kuna abiria huwa ni wapuuzi, magari mengine kuwaka huitaji ku-push-wa kidogo kwa vurugu vurugu za abiria bila kushika husukani.. ss abiria wa hovyo hukaa kivulini na kushika shika usukani na kuulia vipi tatizo nini au kuelezea haraka yao ya kutaka kuondoka na ndo shida inazidi.. ilitokea nikatoka nje nikala kipupwe kidogo nikahamisha hisia nilivyorud ndan nikaona kama abiria mpya, kuweka siti yake vizuri nikamsogeza nikatia funguo, imo.. safari ikaendelea akasuka kituo baada ya dkk kama 5 hivi aakashukuru na mimi nikaelekea parking dkk ya 6 au 7 nikashuka nikamuambia tukatafute chakula kwanza.. tukaenda story njiani, kula, kurudi safari mpyaa..Ikumbukwe, kwenye chakula nilichoropoka kama naenda kutoa ela nikamuambia nisubiri nikatanguliza ugali nyama choma peke yangu na wese-nyagi kichupa kidogo halafu tukaja kula chipsi wote ndio tukarudi nyumbani, aliomba maji.!