gari aina ya alteza....

gari aina ya alteza....

Unajua kuna watu wanadhanu gari zinatumia sijui maji...hizo za kutumia mafufa kidogo unakuta safari ndefu hazihimili lazima Ikohoe so inategemea na matumzi kama mtu wa safari.nashauri.achukie gari yenye injini ya uhakika.

Alteza yenye bemas 2000 IG FE engine ni nzuri haisumbui na ni imara na ikiwa highway inatumia.mafuta kidogo..vi.engine vidogo ukitaka kukimbia ndo vinatafuna wese mbaya kabisa

Kijana kamata altezza kula maisha


Ha ha haa kaka naona umeamua kumshauri kijana wako labda watu wanataka anunue 4E-FE ili anuse wese,kimbembe safarini sasa kanavuma mpaka body na dashboard unavisikia!!!!!!!

Kwa gari za kijapani saloon naweza kuthubutu kusema BEAMS 2000 ni habari nyingine kabisa!!!!!!!

Labda kama huyu jamaa hana safari ndefu yaani wale wa kuzaliwa kigogo na wazazi wako hapo hapo babu na bibi wanaishi Mbezi kwa Yusuph na yeye kapanga Magomeni Mapipa kazi anafanyia Kariakoo hapo utamu BEAMS atausikia kwa watu tu!!!!!
 
Ha ha haa kaka naona umeamua kumshauri kijana wako labda watu wanataka anunue 4E-FE ili anuse wese,kimbembe safarini sasa kanavuma mpaka body na dashboard unavisikia!!!!!!!

Kwa gari za kijapani saloom naweza kuthubutu kusema BEAMS 2000 ni habari nyingine kabisa!!!!!!!

Hahaha kaka acha kabisa....unasafiri hata muziki kwen gari husikii sababu ya kelele ya injini...beams 2000 very comforrable iwe kwen gx 100 gx 110 au Altezza..minimum sound and maximum comfort..hata haya malori-mabasi yakikuona yanakupisha kwa heshima.....na una achieve 12km Per litre vizuri kabisa from my experience mkuu.....hapa watu wanataka hata ac ushindwe kuwasha kisa wese? Bora usinunue gari in the first place kama huwezi kui enjoy au sio mkuu
 
Hahaha kaka acha kabisa....unasafiri hata muziki kwen gari husikii sababu ya kelele ya injini...beams 2000 very comforrable iwe kwen gx 100 gx 110 au Altezza..minimum sound and maximum comfort..hata haya malori-mabasi yakikuona yanakupisha kwa heshima.....na una achieve 12km Per litre vizuri kabisa from my experience mkuu.....hapa watu wanataka hata ac ushindwe kuwasha kisa wese? Bora usinunue gari in the first place kama huwezi kui enjoy au sio mkuu

Naunga mkono kaka,hiyo unapiga 140km/hr na husikii shida mkuu kama tyre iko poa na alignment na ballancing nilikuwa napiga hadi 160 na bado haina kuyumba wala revaberation!!!!!

Music na Ac ni zaid ya burudani,take off ni ku wish na inapokea fasta sana,huko kwa D-3 ndio kabisaaa,electric powered driver seat na seat elevation magoti hayaumi!!!!

Nini tena unataka out of 12M????!!!!!
 
Naunga mkono kaka,hiyo unapiga 140km/hr na husikii shida mkuu kama tyre iko poa na alignment na ballancing nilikuwa napiga hadi 160 na bado haina kuyumba wala revaberation!!!!!

Music na Ac ni zaid ya burudani,take off ni ku wish na inapokea fasta sana,huko kwa D-3 ndio kabisaaa,electric powered driver seat na seat elevation magoti hayaumi!!!!

Nini tena unataka out of 12M????!!!!!

Imagine...just imagine...out of 12M unataka nini aisee...lol hope kijana anasoma apa...apo kwa speed ni kwamba ukitoa macho kwa dashboard ukija chungulia inaitafuta 170Km/hr...weka mbalina watoto
 
Mark II GX110 ndio gari, cc2000......ndani hata ukizima muziki sound ya engine unaisikia kwa mbaliiiiiii sana, pia inayo atraction control system, navigation system, space yakutosha ndani, pia kwenye kukimbia usiulize, kufuta kibakuli ni swala la dakika 1, pia ulaji wa mafuta ni kawaida sana litre 9 kwa kilometa 100, inamaana hapa na moro ni litre 18....pia sound system yake ndani yaukweli, pia tofauti na alteza sport, gx110 vvti beam hata utembee masaa 12 huwa haipati moto kwenye bonet but huwa ni joto lakawaida........alaf pia hii huwa inazo wishbone mbele na nyuma yan hata ukimbie vp swala lakuhama njia sahau hakunaga

Lakini kama unataka sports nzuri, nadhani mnyama subaru sio mbaya ingawa hata youtube watu wengi wanasema zinakimbia lakini kelele za engine huwa zinaingia sana ndani ya gari.
 
...hahaa, hata engine yake inanguruma kama Lamborghini, na ulaji wake wa mafuta ni kama ndege pia, usisahau kumwambia hivyo

Acheni uoga Jamani. ulaji wa mafuta wa altezza, Mark II gx 100, 110, Verosa na magar meeengi ni sawa sawa tu na progress.mwendo wa kawaida ni lita 9 kwa kilometa safar ndefu ni 11.6 kwa lita. chungulia enhance-auto.jp
 
chukua alteza kijana gari zuri, mimi ninayo alteza gitta inaondoka balaa na iko stable barabarani.
 
Alteza ni nzuri nimeshaitumia na kama unapenda watoto wakali wa mujini utapata ila kama unataka gari ya kazi na confortable hebu tafuta Subaru Legacy GT ndo nayotumia imesimama balaa confortable and reliable mkuu

daaah,mtama kwa watoto
 
Altezza ziko chini, na ukizinyanyua zinapoteza mvuto.

Kama unakaa kwenye matuta na mabonde ya kutosha haitakufaa.
 
Kama ina engine ya beams 2000 iliyoko pia kwenye gx 100, ichukue. Engine hii ikiwa mpya huweza kwenda hadi km 100 kwa 6 liters. Na kwenye high way ndo inakula even more less. Bse bongo tunanunua gari used, engine hii huwa ni ngumu na hivo haipotez sana its original efficiency.
mkuu ongea ukweli ili umsaidie jamaa kufanya maamuzi sahihi. Ukisema lita 6 kwa kilometa 100 ni sawa na kusema 1Lt kwa zaidi ya km 16 ktu ambacho si kweli kabisa. Let us stick to the average consumption of 1Ltr per 9Km at least it gives sensé!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom