gari aina ya alteza....

gari aina ya alteza....

Hatari unayo kaka, speed za hvo hii kitu haikawii kupiga mtama, inakuwa kamA imeloose grip inachota...sekunde tu unaona mawingu yanazunguka mzee! Japo ni gari nzito na inaatamia barabara!

Sijafanya tena mchezo huo! (Nilijifunzia Peugeot 504 GL pickup kwenda mbio, kona za handbrake n.k, gari ya mashindano, Mwl wangu mshindi wa pili Safari Rally 1984)
 
Kaka altezza ni gari zuri sana, though ulaji wa mafuta nao sio haba.

Ukipata SX-10 model, engine ya Yamaha, 3S-GE beam, cylinder 4 ni nzuri.
Nimepitia Post flani nikaona mtu kasema hazina Navigation system, No huo sio Ukweli, Mi ya kwangu Inayo, though accuracy sio nzuri sana, but you can still change the firmware.
2000CC, 180km/h on the gauge.

Spare sio Tatizo sana ukilinganisha na Nissan.

Tairi na rim za sport, 17"
Napenda sana Balance yake kwa road,
 
ningependa watu wanaoijua vizuri gari hii...wanisaidie...mapungufu yake....pia...naipenda.....mungu akijalia....soon..nataka nichukue

Altezza iko poa, and come to think of it, ukipata model RS200 a with four cylinder engine 3S-GE ina nguvu kuliko AS200 ambayo ni six cylinder. Pia ukiweza pata a Limited edition ni poa zaidi, maana ina features nyingi nzuri kama leather seats, power seats, zingine zina power sun/moon roof and so on. The altezza is really fun to drive.
 
Kaka altezza ni gari zuri sana, though ulaji wa mafuta nao sio haba.

Ukipata SX-10 model, engine ya Yamaha, 3S-GE beam, cylinder 4 ni nzuri.
Nimepitia Post flani nikaona mtu kasema hazina Navigation system, No huo sio Ukweli, Mi ya kwangu Inayo, though accuracy sio nzuri sana, but you can still change the firmware.
I
2000CC, 180km/h on the gauge.

Spare sio Tatizo sana ukilinganisha na Nissan.

Tairi na rim za sport, 17"
Napenda sana Balance yake kwa road,

Hivi hiyo navigation mbona mie inanizingua, hebu naomba more details on how to make it work. Afu imeandikwa kijapan ndio inakua shida zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom