Chukua Nissan march,jiandae kubadilisha gearbox kaka
Six cylinder tabia yake huwa inakunywa sana mafuta.Lita moja kwa Km 9
jipange mafuta tu mkuu ila hata spea zake majanga kweli
Chukua Progess kaka mle ndani ni kama ndege
Naona watu wanaulizia sana magari aina ya toyota, lakini nimeona gari za Nissan nzuri sana na hata bei ni cheap, mfano, Nissan teana na Nissan tiido latino
Chukua Subaru
mawazo ya wabongo hapa ndo yanapo nichosha mie.....
Kama ina engine ya beams 2000 iliyoko pia kwenye gx 100, ichukue. Engine hii ikiwa mpya huweza kwenda hadi km 100 kwa 6 liters. Na kwenye high way ndo inakula even more less. Bse bongo tunanunua gari used, engine hii huwa ni ngumu na hivo haipotez sana its original efficiency.
mawazo ya wabongo hapa ndo yanapo nichosha mie.....
jipange mafuta tu mkuu ila hata spea zake majanga kweli