gari aina ya alteza....

gari aina ya alteza....

Chukua Subaru

hata mimi nilipenda achukue subaru sababu gharama ya manunuzi zinakalibiana.subaru ipo vizuri japo spea zipo juu ila ukifunga inakaaa.ila kama altezaa basi busha na ball joint kwa wingi.
 
hata mimi nilipenda achukue subaru sababu gharama ya manunuzi zinakalibiana.subaru ipo vizuri japo spea zipo juu ila ukifunga inakaaa.ila kama altezaa basi busha na ball joint kwa wingi.

kweli subaru ni mnyama wa barabaran..lkn?? mimi...naikubali sana alteza wazee
 
Hii ndio kitu ya Ukweli ndugu mwenzio nmeiagiza naisubiria kwa hamu zote mkuu
 
Alteza ni nzuri nimeshaitumia na kama unapenda watoto wakali wa mujini utapata ila kama unataka gari ya kazi na confortable hebu tafuta Subaru Legacy GT ndo nayotumia imesimama balaa confortable and reliable mkuu
 
Gari ni nzuri spea zake zinaptikana kiurahisi ila usiwe na tabia ya kuchungulia wallet kwenye unywaji wa mafuta lipo vizuri
 
Alteza ni nzuri.kuna jamaa yangu anayo na majuzi alienda nayo Moshi kwenye sikukuu za Christmas na Mwaka mpya na amerudi bila matatizo.Gari alitoka nayo Songea.
 
NYAGI DRY Ukipata 4 cylinder ambayo imefungwa engine 3S ambazo zipo kwenye magari mengi na tena ukipata ambayo ni edition B ambazo ni chache sana Auto, manual zote ni B, ni pouwa sana zina features nyingi zaidi kuliko A kama Traction contral system, limited slip differential. Altezza zenye 1G ni six cylinder ambazo ndo nyingi na pia bei zake ni cheap kidogo compare to 3S. ila kama alivyokuambia dav22 kama unataka sports car angalia pia subaru legacy au B4 GT specs B utafurahia mwenyewe ila kwenye mafuta usiwe muoga kuingia petrol stations
 
Last edited by a moderator:
NYAGI DRY Ukipata 4 cylinder ambayo imefungwa engine 3S ambazo zipo kwenye magari mengi na tena ukipata ambayo ni edition B ambazo ni chache sana Auto, manual zote ni B, ni pouwa sana zina features nyingi zaidi kuliko A kama Traction contral system, limited slip differential. Altezza zenye 1G ni six cylinder ambazo ndo nyingi na pia bei zake ni cheap kidogo compare to 3S. ila kama alivyokuambia dav22 kama unataka sports car angalia pia subaru legacy au B4 GT specs B utafurahia mwenyewe ila kwenye mafuta usiwe muoga kuingia petrol stations

hapo nnimekubali...
 
Last edited by a moderator:
Kijana utaweza maana hiyo 9 ni bila. AC na AC zinakuwa 7.5 jiandae .
Pili naona msimamo wako ni huo tu sababu ya mbio au shep yake maana si wengine tumeshaonja joto ya beams 2000. Kukaa na kipespi mkono nje sio nzuri nunua raum ww mke na kijana wenu tosha kabisa.

Hahaha sass ofisa gani unaogopa ac bana
 
Last edited by a moderator:
hapo sio kunywa mafuta..,hio ni kawaida..,ile ni km 6 na litre..,

Unajua kuna watu wanadhanu gari zinatumia sijui maji...hizo za kutumia mafufa kidogo unakuta safari ndefu hazihimili lazima Ikohoe so inategemea na matumzi kama mtu wa safari.nashauri.achukie gari yenye injini ya uhakika.

Alteza yenye bemas 2000 IG FE engine ni nzuri haisumbui na ni imara na ikiwa highway inatumia.mafuta kidogo..vi.engine vidogo ukitaka kukimbia ndo vinatafuna wese mbaya kabisa

Kijana kamata altezza kula maisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom