Safi sana. Wajitoe wote kenge kabisa hao wapiga deal. Walifanya chama cha kikabila wakati michango wanachukua nchi nzima hovyo kabisa haoWengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
ccm wanatumia nguvu kubwa kuibomoa chadema
wananunua wanachama wa chadema, wanatumia polisi, wasanii, waandishi wa habari
Uzuri watanzania wameamka, wanaelewa uchafu unaofanywa na chama tawala
Uhai na nguvu ya chama ni uwezo wa kujenga na kutetea hoja na ushawishi watu wakazinduka na kutambua haki zao, wanaobaki CDM hivi sasa ni influencersChadema atabaki Lisu na makamanda wa mitandaoni lkn Chadema kwasasa ndio imekuwa Chauma CUF ndio ACT kazi iyendelee ,, ACT imelikosa DODO kweupee!!!
Nilidhani watajifunza kwa mchungaji alibebeshwa mabango ya picha kama marehemu😂Who cares ? 52 ? Nani anawajua sasa ? Aliondokaga Dr Slaa dakika za jion kabisa uchaguz wa mtoto, sembuse hawa wapuuzi walioshiba mbege na dadee? Chadema ipo na itakuwepo mioyoni mwa watanzania ! Acha mchele ujitenge na pumba/makapi!
Heche na Lissu wanazidi kukinyoosha chama, wale wa pombe na bure na nyama waondoke tu !
Chadema ilikufa Kilimanjaro kitambo sana sasa iko Mara na Mbeya 😂😂Wenye pesa wanaondoka Kilimanjaro
Hizo tonetone zenu sahauni Kilimanjaro
Wajinga kweli. Yaani cdm ihakikishe isichukue muda mrefu bali ihuishe katiba yake na ihakikishe hakuna mtu kukaa sehemu moja ya uongozi zaidi ya miaka kumi. Hii mtu kukaa sehemu moja zaidi ya miaka kumi haya ndio madhara yake. Anatolewa akiwa ametengeneza wafuasi wake, na sio wafuasi wa taasisi, akishindwa wanaanza hujuma za bei rahisi. KalamuKuna wengine ndo tunawasikia leo ila nao wanasema walikuwa wanatukanwa
Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Wafadhili wao wapo wacha wademkeIna maana media za Dar hazisikiki Moshi na Morogoro au lengo lao kuzurura wamekosa cha kufanya Dar?
Kwa bahati mbaya cdm hawaondoki wafuasi, bali wanaondoka team Mbowe😂 Tena ni kama mmewasaidia cdm, badala watumie muda wao kuwafukuza wameondoka wenyewe. Waende vyama vingine, kama wana mvuto tuone kama watafuatwa kama Maalim Seif alipohama CUF. Tena hao te Mbowe ndio walichangia kuifanya cdm ionekane ni chama cha wachaga.UTAWEZAJE KUFANYA KAZI CHINI YA MKONO WA CHUKI, VISASI View attachment 3331016
Well saidBinafsi nawashukuru sana Tundu Lissu, Heche na Lema, kama hawa watu wangekata tamaa na kikihama CHADEMA, ingechukuwa muda kidogo kujua kwamba kwa miaka yote iliyopita chama hicho hakikuwa na lengo la kusaidia wananchi bali kilikuwa na lengo la 'na sisi tule'
CHADEMA IPO sanaNI VIGUMU SANA KUFANYA KAZI CHINI UONGOZI WENYE ROHO MBAYA VISASI NA VINYONGO! View attachment 3331019
UHAI WA CHAMA UMELALIA KWENYE HAMASA, MSIJIDANGANYE KUNA WANACHAMA WATASALIA NEVER EVER, KIONGOZI MMOJA HUWA NA USHAWISHI WAKE, HUWA NA TIMU YAKE, NA WAPAMBE WAKE, NEVER UNDER ESTIMATE NI PIGO TAKATIFU.Kwa bahati mbaya cdm hawaondoki wafuasi, bali wanaondoka team Mbowe😂 Tena ni kama mmewasaidia cdm, badala watumie muda wao kuwafukuza wameondoka wenyewe. Waende vyama vingine, kama wana mvuto tuone kama watafuatwa kama Maalim Seif alipohama CUF. Tena hao te Mbowe ndio walichangia kuifanya cdm ionekane ni chama cha wachaga.
Wanasema wanatukanwa mtandaoni. Kweli kuna zama na nyakati zake. Mtu anasema kabisa kuwa anajivua uanachama kwasababu chama hakishiriki uchaguzi eboo.Hahahahaa Una akili Sana, bonge la observation
Kujipa moyo hakukatazwi 😀CHADEMA IPO sana
Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.