Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,224
- 17,014
Hawakuwa CHADEMA,walifuata Mtu!Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Hawakuwa CHADEMA,walifuata Mtu!Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Jifarijini wanaondoka matajiri mnaweka maskiniTutapata viongozi wapya! Chadema Ina hazina ya watu waamunifu sio Hawa madalali.
mbona wanaokimbia ni wachagga, kweli ukifukiza moshi shimo vinatoka vitu vya ajabuWengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Akifanya Heche unazielewa?Hizi press conference ni za kazi gani mbona hawajielewi hawa?
Wacha wahame ni sawa na mtu kuhamia mkoa,sio shida!ccm wanatumia nguvu kubwa kuibomoa chadema
wananunua wanachama wa chadema, wanatumia polisi, wasanii, waandishi wa habari
Uzuri watanzania wameamka, wanaelewa uchafu unaofanywa na chama tawala
Kwendraaaaaaaa mafala hao tena wasigeuke nyumaa wakwendeee zero impactWengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadem
Wanatoka hata koboko!mbona wanaokimbia ni wachagga, kweli ukifukiza moshi shimo vinatoka vitu vya ajabu
Kasaka ndio watu 55? Au huelewi maana ya G55?G55 ni Njelu Kasaka
Hao wengine ni pimbis tu
Majina yao na wapi wamesema wao wachaga?mbona wanaokimbia ni wachagga, kweli ukifukiza moshi shimo vinatoka vitu vya ajabu
Hao wanachama we unawafahamu?Kwenye vyama vya siasa wanaoweza kukiangusha chama sio viongozi ni wanachama wenyewe.
Waende sie tunabakiiNI VIGUMU SANA KUFANYA KAZI CHINI UONGOZI WENYE ROHO MBAYA VISASI NA VINYONGO! View attachment 3331019
Huyu jamaa alikuaga bado tu chadema, aisee sielewi chadema ya Mbowe ingekua wapi. Imejaza liabilities sanaExaudi Wilson Mamuya
ila kiukweli mwenyekiti na Makamu mwenyekiti wa Chadema taifa wanaropoka mno ndugu wadau,Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Wengine tena??Wengi wao wakishutumu kuchoshwa na matusi na ubaguzi dhidi yao wameamua kujiondoa chadema.
Kama mlitegemea hiyo nadharia kufanya kazi, basi safari hii ndani ya cdm mtasubiri sana. Kahongeni wengi zaidi wafanye press kuwa wanahama cdm. Uzuri mnawapa hela.UHAI WA CHAMA UMELALIA KWENYE HAMASA, MSIJIDANGANYE KUNA WANACHAMA WATASALIA NEVER EVER, KIONGOZI MMOJA HUWA NA USHAWISHI WAKE, HUWA NA TIMU YAKE, NA WAPAMBE WAKE, NEVER UNDER ESTIMATE NI PIGO TAKATIFU.
Bana weee, hao G55 mwenye akili yukwapi bana? Yaani kupunguza garasa ndio kitu unamkausha mtu kuwa hawezo kuongoza? 🤣🤣Kuna watu niliwaambia Tundu Lissu hana uwezo wa kuwa kiongozi wa chama cha siasa! Anaweza kuongoza taasisi nyingine lakini sio ya kisiasa!
Nadhani sasa hivi watakua wameanza kunielewa!
Kundi liliongozwa na Kasaka liliitwa G50 Siyo G55.G55 ni kundi lililoanzishwa na baadhi ya wabunge wa Tanganyika ndani ya Bunge la Muungano wakati wa Utawala wa hayati Mwinyi na kiongozi wa Hilo kundi alikuwa Mh Njelu Kasaka kutoka Jimbo la akina Lucas Mwashambwa
Hawa akina Mrema ni G55 wa mchongo 😁
Kuna watz wengi sana siyo wanachama wa chama chochote. Hwa wanachoangalia ni sera zipi na za nani zipo sahihi kwa mstakabali wa nchi. Huu ni ukweli ambao hata watawala wanauelewa ndiyo maana hawataki kusikia mgombea binafsi. Hawa wanao ondoka walikuwepo cdm kwa sababu ya maslahi binafsi zaidi. Watz wengi kwa sasa wana support 'No reforms no election' ili hata wagombea binafsi waweze kujitokeza na kugombea.UHAI WA CHAMA UMELALIA KWENYE HAMASA, MSIJIDANGANYE KUNA WANACHAMA WATASALIA NEVER EVER, KIONGOZI MMOJA HUWA NA USHAWISHI WAKE, HUWA NA TIMU YAKE, NA WAPAMBE WAKE, NEVER UNDER ESTIMATE NI PIGO TAKATIFU.