Labda kama anataka kubaki mlimani afundishe.. otherwise huku mtaani GPA haina maanaMleta mada inawezekana yuko shule jamani mwachine au ndo amemaliza Chuo.
Huku Kazini hakuja cha GPA Mkuu. Tumeona wengi wanakuja na hizo GPA first class lakini kazi hawezi kabisa.
Huku ni kazi tu. Kama unadhani GPA itakusaidia kazini basi wewe una matatizo.
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...
Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Acha utani mkuu, UDOM wako......??ningeshangaa sana huu uzi uishe bila mtu kuisema Udom ila hujui tu UDOM wako juu sana kwa sasa kwa wale waajiri tunaelewa wakoje
You are a big fool....childish thinking!Mbona ume panick mkuu...Tehe Tehe
Hahahaa,hivi GPA ndo nini kwani maana hata sielewi mkuu.Chukua hiyo GPA yako uipeleke mashine ukakoboe, utapata hizo debe mbili za mchele.
Hoja dhaifu sana hii ndugu!Low G.P.A=Low IQ
Low G.P.A=Low IQ
you are totally out of scope!!!unaonekana hujui hata dhana ya hon kwenye trend ya performance.Unafikiri kwa macho na kuskia badala ya rigoreous arquement.Fikra pofu zenye mwelekeo wa kihistoria,lazima tupime output zetu by focusing firmly on outcome and performance.kindly advised to make pilot study badala ya kuarque mithili ya primary kids.Achanen na deadly ideas,mfumo uliopo kwa sasa haujustify unachokiamini.Jaribu kuptia TCU utajua kua university stds wa siku hizi wako equal weight,Division 2 tena ya mfumo wa GPA inampa nafas mwanafunzi kusoma Law Udsm.Wacha mchezo na Bcom ya UDSM. Yani GPA ya Bcom udsm ya 2.0 ina maana kubwa sana kuliko GPA ya 4.0 ya UDOM, MZUMBE, OPEN, IFM na vyuo vyote unavyovijua hapa nchin vinavyotoa kozi za biashara. Ndio maana digrii ya UDSM inaitwa Honorous. Vyuo vingine vinatoa ordinary degree.... Kwa hiyo mtu yeyoe ambaye amehitimu shahada ya Biashara UDSM ni 'kichwa by default'...
david silinde ni mbunge wa jimbo gan na chama gan.... ????
Mkuu Umemaliza Kazi Na Hili Ndiyo Jibu SahihiPass= gentleman's degree . Shida ya nini? Pata pass nenda TRA piga mpunga basi! Chukua medicine miaka 6, pigwa na wagonjwa, shida ya nini!
wako juu katika ajira kwa wale waajiri wanaelewa ninachoongea, ww kama huamini mm siwezi kukulazimishaAcha utani mkuu, UDOM wako......??
Kaulizie Bakheresa au Mengi wana GPA zipi.Low G.P.A=Low IQ
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...
Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...