G.P.A ya mbunge David Silinde

G.P.A ya mbunge David Silinde

Mbona Udsm nako vilaza wako kibao? mbona ktk interview nyingi udsm wanapigwa sana na watu toka mzumbe, udom nk?
 
Ningekuona wa maana kama ungetuambia wewe umefanikiwa katika maisha zaidi kuliko yeye japo yeye ni mbunge ningekuelewa, lakini GPA! Wangapi wana GPA safi lakini wanatembea viatu upande kama wana matege kumbe kiatu kimechakaa upande upande kwa kukosa pesa ya kujipanga vema. Mwenzio na GPA hiyo unayoiona ndogo, yuko bungeni. Wewe tuambie uko wapi unapatia riziki yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kubishania ujinga .Hutakiwi kujivunia GPA il a jivunie uwezo ulionao kutumia elimu uliyonayo kuboresha maisha yako binafsi n'a Taifa Kwa ujumla.Huu upuuzi wa GPA ndo umelididimiza Taifa letu Kwa miaka mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni kilaza....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Kama alipata gentleman...... Jiulize ninkwa nini wananchi wamemuamini?? Mpaka wakampa jimbo??? Jibu ni kwamba unaweza ukawa unaufaulu mzuri sana lakini ukakosa maarifa
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni kilaza....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...

Akuletee ya BASHITE kwanza
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni kilaza....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Hiyo gentleman degree itakusaidia nini? Huyo magogoni alijipa PhD fake na Nchi imemshinda iko shagalabagala!
 
Mnaojadili ubora wa ELIMU kwa kuangalia UDSM kumbukeni wote unaowaona wanaliingiza hili taifa GIZANI asilimia kubwa ni graduates wa UDSM, JE NINI UMUHIMU WAKE?[/QUOTE]



Naona kuna watu hawajalijua hili
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni kilaza....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
5.6
 
haooo wanaomdis hawaijui UDSM kuwa ni tofauti na vyuo vingine .


aende akaangalie asilimia kubwa ya waliomaliza weng wao gpa ndogo kwa kuwa chuo hatar so mmpe hongera ali graduatee haku disco ....hawa wa vyuo vya kata hawatamwelewa wataona ni kilaza kumbe ni kipanga halafu wao wanajiona vipanga GPA ya 4.5 kumbe vilaza tuuuu
UDSM sio chuo hatari na mitihani sio migumu kama tunavyotishwa. Kinachofanya watu wapate GPA ndogo ni hawasomi kwa bidii na hofu waliyojengewa tangu mwanzo. Ukiwa serious na shule na positive mind zile supplementary utakuwa unazisikia kwa wengine. Haya mambo ya kutishana nilianza kutana nayo baada ya kuchaguliwa form five kusoma PCB ambapo siku moja nilikutana na jamaa mmoja aliekuwa kamaliza form six akaanza kunitisha kuniambia PCB ni ngumu mno ati hata yeye pamoja na kuchaguliwa CBG aliamua kubadilisha kwenda EGM! Mimi nilimpuuza nikaenda zangu shule bahati mbaya nikaugua mwaka mzima nikaja kupata nafuu mwishoni mwa form five nikaendelea na shule. Form six ndo nilipata mda wa kusoma kwani Mungu alinisaidia nikapona na mtihani wa taifa nikafanya na nikafaulu na chuo kikuu nikaenda. Mbona mambo ni ya kawaida tu!!! Mimi huwa sina kitu kinachoitwa haiwezekani au hiki ni kigumu.
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni kilaza....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
asikubabaishe huyo uliyekuwa unabishana naye,kuna maprofessor waliokuwa na first class Hons ,lakini kichwani hamna kitu,hawawezi hata kujenga hoja!angalia olesendeka,ni zero form six lakini no mjinga hoja mzuri sana,achana na ma GPA hayo.
 
Back
Top Bottom