G.P.A ya mbunge David Silinde

G.P.A ya mbunge David Silinde

Chenge alimaliza Harvad mbona daily anawatandika vijisent /minisent????
 
Wenye GPA nzuri wote wanamaisha magumu mtaani. We ng'ang'ana na GPA mwenzio anapiga maisha. GPA siyo kipimo cha usomi na maisha
 
GPA YA SILINDE NI DARASA LA SABA maana ndiyo sifa ya mtu kuwa mbunge
 
Pass degree mbona inatosha sana. His daily business is not hard science, why first class? Second class?
Hivi sibora hata huyu kafika chuo kikuu? Mbona wapo wengine hata form six hawakufika?
 
Sobf
Wenye GPA nzuri wote wanamaisha magumu mtaani. We ng'ang'ana na GPA mwenzio anapiga maisha. GPA siyo kipimo cha usomi na maisha
So far hakuna anayepita na bandiko la GPA yyake usoni. Kinachomtambulisha MTU ni ccheti ambacho pia kinazidiwaga nguvu na experience kwa msomi was ngazi ya degree
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Otea sasa, alipata ngapi.......?
 
Hapa GPA haisaidii kitu maana katoa facts. Mbona hujaulizia GPA za Lusinde na Maji marefu ambao Ccm wanaona ndio wabunge mahiri?
 
Mleta Mazda na wote wanao Sofia vyuo vyao wote vilaza "eti udsm ni balaa" utapyamlo wa kufikiri ungekua chuo ni hewa has udsm ndo kingekua pekee sasa Baht mbaya chuo kikuu ni material unayoyapata na mjue kwamba wahadhir wengi wa udom ni product ya udsm na sua kuiponda udom ni kuitukana ussm
 
Kwanza hiyo Gentleman iko TIA au UDSM?
Hizi rank nyingine isije ikawa mnatuletea za kwenye vyuo vyenu vya mifugo huko. Sijui Distinction n.k! Embu nijuze kwenye list hii hyo gentleman iko ktk ya nn ...
First class
Upper second
Lower second
Pass
HATA MIMI NAJUA HIVYO LABDA KUMEKUWA NA MABADILIKO KUANZIA MWAKA 2012
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Ya ole ni ngapi vile???? Zeeeeeeeeroooooooo, sifuriiiiiii... Yaaaaaai.....
 
Kumbe alisoma na Akapata hayo matokeo basi yuko poa sana maana wengine sana vyeti feki. Ni heri dvsn 4 halisi kuliko dvsn 1 feki. Mwisho Wa siku vyeti na maisha ni tofauti
 
Back
Top Bottom