Fursa kwa wana IT: Wateja wanahitaji Kariakoo ya mtandaoni inayofanana na Alibaba.Com, kama una uwezo chukua hatua bila kusita

Kariakooking1978

JF-Expert Member
Jul 11, 2023
552
1,060
Hellow members,nimekuja kushare nanyi fursa hii niliyogundua kuwa inahitajika kwenye soko la kuuza na kununua bidhaa hasa kariakoo.

Nimekuwa nasafirisha bidhaa za watu mbali mbali kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani kwa mda sasa.

Katika hizi harakati mara nyingi nimekuwa napata changamoto ya watu kutaka kujua bei ya bidhaa flani na picha ya bidhaa husika.Sasa hili swala la kutafuta bei ya bidhaa na picha kila siku limekuwa changamoto sana.

Sasa juzi kati hapa nilipata mteja mmlawi anahitaji bidhaa kariakoo ila changamoto ikawa anataka picha za bidhaa mbali mbali aangalie then achague halafu mimi nikalipie nimsafirishie.

Sasa kuna mda inakuwa ni changamoto kupata picha za bidhaa ukizingatia wauzaji wengi wa kariakoo wapo bize na hawapendi usumbufu wa kuomba omba picha.

Sasa katika kuwaza nikagundua kungekuwa na platform like alibaba.com ambapo wauzaji wa kariakoo wanalist bidhaa zao na bei zao za jumla na rejareja ambapo mtu yoyote kutoka sehemu yoyote anaweza akaingia na kuchagua bidhaa then sisi wasafirishaji tukafika duka husika na kumsafirishia bidhaa zake.

Kila la kheri
 
Watanzania wakizishangaa fursa mbalimbali bila ya kujalisha ni wasomi au laa huku nchi ikipigwa na panya road waliovalishwa suti na kukaa kwenye ofisi za uma👇😁😁😁
downloadfile(3)_jc.jpg
 
Mbona zipo kaka,

Nida Danish
www.nidadanish.com

www.shoponline.co.tz

Kupatana.com

Jiji.co.tz

Na zingine zingi
Nyingi sana hata blog zipo nyingi.

Kuna hii moja niliamua kuianzisha kwa ajili ya wajasiriamali Tz
Wataweka bidhaa
Wataweka maelezo
Wataandika blog
Watajifunza crafts na kufundisha
Kimsingi mjasiriamali anakuwa na ukurasa wake mtandaoni unaojipambanua

Mtoa mada, zipo nyingi ila labda ulitaka iliyotawala kariakoo ndio ukakosa.

Bado ipo na ni fursa kwa wajasiriamali nchini. Bure bilashi. Soma attachments
chrome_screenshot_1699113744470.png
 

Attachments

  • Flier.pdf
    538.3 KB · Views: 5
  • Barua-kwa-wamiliki.pdf
    62.8 KB · Views: 4
Nyingi sana hata blog zipo nyingi.

Kuna hii moja niliamua kuianzisha kwa ajili ya wajasiriamali Tz
Wataweka bidhaa
Wataweka maelezo
Wataandika blog
Watajifunza crafts na kufundisha
Kimsingi mjasiriamali anakuwa na ukurasa wake mtandaoni unaojipambanua

Mtoa mada, zipo nyingi ila labda ulitaka iliyotawala kariakoo ndio ukakosa.

Bado ipo na ni fursa kwa wajasiriamali nchini. Bure bilashi. Soma attachments
View attachment 2803827
Ofisi yako Iko wapi mkuu. Niachie addres
 
Una nchi yoyote afrika imewezekana hii model?. Alibaba china koneksheni to producer. Mbongo huyu huyu atumie Alibaba ya kibongo isimuache na kidonda?.

China yenyewe watu wanatapeliwa na hiyo Alibaba
Thanks,umeniongezea fursa.


Atakaechukua hatua ahakikishe kuna escrow system ili kila mtu apate chake kwa haki.
 
Wauzaji wa online Tz Wengi Wana tamaa....wanaweka cha juu kiasi kikubwa Sana mwisho mtu unaamua kwenda kkoo mwenyewe...bado udanganyifu wa quality...unaweza uziwa used ukiamini mpya...
Kama tunajua kuna watu wanafanya hivi basi wakati wa uundwaji wa hii platform hili swala litatakiwa kuzingatiwa pia.
 
Ipo ni Mbeya. Japo ukishaziona pdfs (hasa hiyo flier) utagundua kila kitu unamaliza popote ulipo. By the way ni online platform to begin with.

Samahani. Hizo pdf mbili zina kila kitu zifungue kwanza halafu yalopunguka ndio uyaombe.
Ok man mm wateja wa kuanzia nilkuaga nao. Yan maisha hayana. Uwinga kariakoo enzi hizo tandamti, sikukuu, Pemba mpaka nikaja kufika kwa wapakistan pale kitumbini bidhaa vya mini market. Mashuka kwa wachina na pazia Kule kinlaten darasa l machimbo na jamaa yangu kelvin.
 
Back
Top Bottom