Fursa kwa madereva wa mabasi na malori kutoka Tanzania kufanya kazi nchini Qatar

Fursa kwa madereva wa mabasi na malori kutoka Tanzania kufanya kazi nchini Qatar

Dr. Wansegamila

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
2,994
Reaction score
8,271
✍🏾NAFASI 400 ZA AJIRA QATAR – MADEREVA WA MABASI NA MALORI MAKUBWA!
Kupitia ushirikiano na Kampuni yetu Tanzu, Imarahorizon, madereva 400 wanahitajika kwenda kufanya kazi nchini Qatar chini ya kampuni ya Mowasalat.
📔Faida:
✅ Visa, nauli ya ndege, na gharama zote muhimu zitalipiwa kikamilifu.
✅ Mafunzo ya kitaalamu ya udereva
✅ Malazi, matibabu na bima ya maisha zitatolewa.
⚠️ Hakuna malipo yoyote muombaji atagharamia.
Bonyeza link hii International Career – Benjamin Mkapa Foundation na ujaze taarifa zako muhimu.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 15. 04. 2025.
 

Attachments

  • 20250401_144918.jpg
    20250401_144918.jpg
    354.4 KB · Views: 33
Back
Top Bottom