Funzo tunalopaswa kujifunza kufuatia kifo cha mwenzentu Le Mutuz, tuandike wasifu wetu wenyewe

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,608
93,413
Kufuatia kifo cha member member mwenzentu wa JF Le Mutuz pamoja na mengi mengineyo lakini kubwa hakuna wa kuandika wasifu wa marehemu wala historia yake maana kazi hiyo aliifanya yeye mwenyewe.

Hivyo natoa rai katika mambo ya maana sana aliyofanya Le Mutuz ni pamoja na kuandika historia yake yeye mwenyewe na iko hapa JF.

Tusikubali kuandikiwa historia na watu wengine, kuna msemo wa mtaani wanasema usipojipanga tutakupanga, tujipange tusisubiri kupangwa na kina Absalom Kibanda.
 
Kufuatia kifo cha member member mwenzentu wa JF Le Mutuz pamoja na mengi mengineyo lakini kubwa hakuna wa kuandika wasifu wa marehemu wala historia yake maana kazi hiyo aliifanya yeye mwenyewe...
American Spirit, yeah Le Mutuz aliweka historia yake wazi....A to Z.
 
Hii ni nzuri. Japo watu wanaogopa kufa.
Na miaka hii hakuna mtu mwenye muda wa kuandika historia ya mwingine, wataandika juu juu tu
 
Kama Manara alivyojitapa kumuingiza William Simba wakati jamaa alishasema kitambo unazi wake kwa Simba na Pan Afrika! Mzee wa tetemekoz alishanyoosha life yake mwenyewe.
 
Na pia watu wajifunze kuacha alama njema wawapo hai...

Kuna mahali nimepita nikasikia namna jamaa mmoja anavyojaribu kumfafanulia mtu mwingine kwa kumtambulisha marehemu kuwa alikuwa mtu wa totoz, simply ni vile jamaa akiwa hai hakuacha kujionesha hivyo (hata kama haikuwa kweli)
 
Nimefika Episode ya 42, nikipata wasaa nitaendelea, ila nilipofika jamaa amejipambania sana sana
 
Back
Top Bottom