Boss naomba nijue bei ya DSTV na azam ving'amuzi bei gani!Wasiliana nami mkuu
Bei yake complete ikoje? Malipo ya mwezi ?Kwa sasa tunazo Canal+ tu
Tofauti ya Antenna na Dish mbali na bei zake ni nini?99,000 DSTV, 85000 Azam antenna, 150000 Azam dish
AZAM bei gani?-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga mfumo wa Cable Tv kwenye hotel, guest house ,apartment au nyumbani
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
-0764 453848Contacts
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo DSTV ni pamoja na kufunga na unapatikanawapi99,000 DSTV, 85000 Azam antenna, 150000 Azam dish
Unaweza tumia dishi la DStv kwa king'amuz Cha Azam?Dish unaweza kutumia popote ukilinganisha na antenna. Antenna inategemea na signal za minara sehemu ulipo
mzee azam antenna 150k,wakati bei elekezi ni 99k99,000 DSTV, 85000 Azam antenna, 150000 Azam dish
Hii decoda Ni nzuri kuliko Azan mkuu? Ina FREE ngapi? Malipo yakoje?UEFA na Europa wiki hii kwenye Canal+ decoderView attachment 1766714View attachment 1766715