Fun fact: Watanzania wengi hawajui 'Dam' ni kitu gani

Fun fact: Watanzania wengi hawajui 'Dam' ni kitu gani

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
11,625
Reaction score
20,572
Watanzania wengi wanadhani kiswahili cha neno Dam ni bwawa. Wakisikia Mtera Dam basi wanajua kuwa kiswahili chake ni bwawa la Mtera.
20221225_130140_5469_6408978342ead.jpg


Ukweli ni kuwa dam ni ule ukuta unaojengwa kuzuia maji. Baadhi ya tafsiri za kiswahili zinaita ukuta huo Lambo.
Gordon_Dam,_Southwest_National_Park,_Tasmania.jpg

Huo ukuta hapo juu ndiyo unaitwa dam. Sehemu yenye maji kwa kiingereza inaweza itwa lake au reservoir.

So hawa jamaa wa Minaki watoe hii aibu. Badala ya kuandika Minaki Dam walau waandike Lake Minaki au pool au pond.
images (30).jpeg
 
Watanzania wengi wanadhani kiswahili cha neno Dam ni bwawa. Wakisikia Mtera Dam basi wanajua kuwa kiswahili chake ni bwawa la Mtera.
View attachment 3595073

Ukweli ni kuwa dam ni ule ukuta unaojengwa kuzuia maji. Baadhi ya tafsiri za kiswahili zinaita ukuta huo Lambo.
View attachment 3595075
Huo ukuta hapo juu ndiyo unaitwa dam. Sehemu yenye maji kwa kiingereza inaweza itwa lake au reservoir.

So hawa jamaa wa Minaki watoe hii aibu. Badala ya kuandika Minaki Dam walau waandike Lake Minaki au pool au pond.
View attachment 3595074
Sisiemu inatupeleka wapi?!
Huyu nae kaanzisha uzi..
Na hii ni FACT kwake

Mungu akusamehe
 
Bwawa na Dam ni Jambo ni maneno yanayorejelea jambo/kitu kilekile.

Dam ni maji yaliyokusanywa au kukusanyika baada ya kuzuiwa iwe na ukuta au namna yoyote.
Bwawa nalo maana yake ni ileile.

Hivyo hawajakosea.
Lengo la huo ukuta ni kuyafanya hayo maji yakusanyike. Na mkusanyiko huo wa maji uliosababishwa na kuzuiwa maji ndio huitwa Bwawa(Dam).

Ziwa ni ishu nyingine tofauti
Mkusanyiko wa maji mengi unaochukua eneo kubwa ambao mara nyingi utokeaji wake unatokea kiasili.
 
Back
Top Bottom