christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,484
- 3,876
Duuh! Pamoja na kwamba pombe inapigwa vita sana na madhehebu mengine lakini wakati mwingine huwa ni nzuri.Pombe ilitumika kutoa aibu na kuwapa ujasiri
Duuh! Pamoja na kwamba pombe inapigwa vita sana na madhehebu mengine lakini wakati mwingine huwa ni nzuri.Pombe ilitumika kutoa aibu na kuwapa ujasiri
Mimi nafikiri siyo hivyo,,Picha na michoro vinamuonyesha Lutu katangulia mbele na mabinti zake huku kawashika mikono huku mkewe akiwa nyuma...something uncommon hapa
Wanawake tangu mwanzo ni wabishi sana yaniMungu siku zote ni mkuu na hajaribiwi. Inawezekana mke wa luthu alitaka kuhakikisha ni kweli nikigeuka ni nini kitatokea au vilio vilivyotawala vya majonzi na simanzi watu waliokuwa wanaangamia vilimtia huruma. Au kiherehere chake tu. Mawazo yangu
Mimi nafikiri siyo hivyo,,
Kwakuwa kama mke wa Lutu alifanya kinyume na maumbile ndio akageuka jiwe, ina maana hilo tendo Haku fanya na mumewe ambae ni Lutu? Maana tunaona Lutu ameendelea na safari.
Tanga na ZanzibarMkuu Kwa Huu Ulimwengu Wa Sasa Hiyo Miji Hapa Duniani IlikuwA Nchi Gani
Tanzania Ni PazuriTanga na Zanzibar
Mshana Jr, hivi Hawa wanaotupeleka Buza bila hiari yetu wanatutakia Nini?
Ahsante kwa ukweli huu. UTII ni jambo muhimu sana, lilikuwa ni somo la jumapili ya leo kanisani kwetu.Ukitafakari sana lutu na mkewe walikuwa wamewekeza ktk mji huo sasa itokee mali zako zote iteketezwe kwa mara moja lazima kibinadamu ungeangalia nyuma kuililia. Pia ukiangalia tabia ya Mungu anapofanya maangamizi kabla ya hapo hutoa onyo hadi onyo, Eden alitoa onyo, wakati wa gharika alitoa onyo. Sodoma alitoa onyo, kule misri alitoa onyo kabla, kwa wamedi na waajemi alitoa onyo, pale Jerusalem alitoa onyo, mji ukateketea kwa upanga mwaka wa 70 bk. Nk. Katika onyo zote yeyote aliyetii onyo la Mungu aliokolewa bila kujali anadhambi kiasi gani, mke wa lutu alikiuka onyo la malaika la kutoangalia nyuma. Mdhambi anaweza kuvumiliwa lakini kutokutii agizo la Mungu mhusika atajibebea gharama zake mwenyewe.
Israel kama unaenda dead sea ndugu.Mkuu Kwa Huu Ulimwengu Wa Sasa Hiyo Miji Hapa Duniani IlikuwA Nchi Gani