MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,159
- 6,574
Ndo mana kuna wanamuziki walishaimba kwamba "Hii kitu hi kitu hii tu hii, Hii kitu hii, Hii kitu hii..... inagombanisha watu hii kitu hii, inagombanisha hata ndugu hi kitu hii, watu wakatana mapanga shauri ya kitu hii, watu wanakuwa chongo shauri ya kitu hii, watu wanakuwa vilema shauri ya kitu hii, wengine wanakufa shauri ya kitu hii..." NOMA.