Fumanizi hili Guest house Iringa

Fumanizi hili Guest house Iringa

Kwanini aliweza kugundua kuwa mwanaume aliyemfumania na mkewe hana hatia kama alikuwa katika hali hiyo?

Huko ndio tunaita kuchanganyikiwa sasa, kwa akili ya kawaida asingeweza kusema hilo alilolisema kama kweli alilisema. Ni kweli mke anaweza kuwa ni mkosaji namba moja maana yeye alitongozwa (kitu ambacho hutokea mara nyingi kwa wanawake wengi), kosa linakuja pale yeye alipokubali, lakini hiyo haimuondelii mkosaji wa pili kosa, huyo mgoni wa kuime. Kumbe basi katika hali ya kawaida yule ndg anayetuhumiwa kwa kosa la ugoni naye ana makosa, lakini huenda kwa akili kutokuwa katika hari ya kawaida huyu jamaa anamuona hana kosa, kitu ambacho ni illogical.
 
watu8@ kama akimuua je?angemuuliza taratibu kwanini umefanya hivi na tatizo liko wapi?kama hamtaki basi anamwacha< mbona wanaume wanafu,aniwa sana?

Kupiga ni suala jingine na kuua ni suala jingine...nia ya mwenye mke ilikuwa ni kutoa adhabu kwa kutoa kerebu mbili tatu...

Ukianza kufikiria habari za kuua si ajabu kuna baadhi ya mambo unaweza kuacha kufanya....

Hao wanaume wanaofumaniwa nao wapewe kichapo tu ikiwezekana...
 
mi naona ni bora hii sheria ya ndoa ikafanyiwa marekebisho ili kuokoa maisha ya wanaofanya uzinzi nje ya ndoa zao.tehe!tehe!
 
Huko ndio tunaita kuchanganyikiwa sasa, kwa akili ya kawaida asingeweza kusema hilo alilolisema kama kweli alilisema. Ni kweli mke anaweza kuwa ni mkosaji namba moja maana yeye alitongozwa (kitu ambacho hutokea mara nyingi kwa wanawake wengi), kosa linakuja pale yeye alipokubali, lakini hiyo haimuondelii mkosaji wa pili kosa, huyo mgoni wa kuime. Kumbe basi katika hali ya kawaida yule ndg anayetuhumiwa kwa kosa la ugoni naye ana makosa, lakini huenda kwa akili kutokuwa katika hari ya kawaida huyu jamaa anamuona hana kosa, kitu ambacho ni illogical.

Hapana,
Huyo jamaa angekua na kosa kama angekua anajua huyo mni mke wa mtu

Lakini kwenye mambo haya mara nyingi mke wa mtu ndie anaetengeneza mazingira ya kutongozwa na sababu wanazijua wao,kuna matukio zaidi ya 20 hivi nayajua mwanzo hadi mwisho wake.Ni wanaume wachache wenye uwezo wa kumtongoza mke wa rafiki au wa mtu yoyote mwenye kujiheshimu

Kwenye hili namlaumu mwanamke japokuwa kupigwa sikuungi mkono kwa aina yoyote ile kwenye mambo haya!
 
Wewe unadhani huyo mwanaume alipanga kumpiga mkewe?

Hapo waongee nini sasa na kama ni maji ndio yashamwagika...

Huko kutoridhishwa ndio uamue kwenda kuzini? Kwa nini usingeliongea na mumeo?

Suala la wanaume wengine kufumaniwa na kusamehewa linahusiana vipi na hili tukio?

hapo na mie pamenimaliza kabisaaa, kha! mie hawa watu wanaofumaniwaga nawaona wapuuzi wa mwisho chini ya jua, we unajua kabisa madhara ya kitendo kama ulishaona hata kadalili kidunchu ya kuhisiwa kama unacheza rafu kwanini usisitishe? kama unaona huwezi kutumia akili zako zote kwenye kufanya kificho na hiki kitendo bora utulizane tu! kujitafutiaa tu matatizo kusiko na sababu.
 
FUMANIZI+1.jpg

Hapa akiwa amelala hajitambui baada ya kupata kipigo

JAMAA+AKIONDOKA+NA+MKEWE.jpg

Picha hii jamaa amembeba mke wake baada ya kumfumania na kumpa kipigo kikali wakielekea nyumbani.
Hata kama kisa kufumaniwa siyo haki kumpiga kiasi cha kuua. Kama adhabu ilikuwa kupiga mbona kamfungashia tena virago?????? SIYO SAHIHI.......
 
Hata kama alikuwa anajua bado jamaa hana obligation yoyote kwa mwenye mke. Mke ndio mwenye obligation ya kuwa mwaminifu kwa mumewe na sio kukitembeza nje.

Big up kwa huyo mume wa bidada. . .amefanya vizuri ku-deal na mzizi wa tatizo na sio matawi!!!
Kama huyo mkewe angekuwa kama Tyson huyo mumewe angemgusa?

Violence hairuhusiwi!!!!
 
Hata kama alikuwa anajua bado jamaa hana obligation yoyote kwa mwenye mke. Mke ndio mwenye obligation ya kuwa mwaminifu kwa mumewe na sio kukitembeza nje.

Big up kwa huyo mume wa bidada. . .amefanya vizuri ku-deal na mzizi wa tatizo na sio matawi!!!
Ndio maana nakupenda una majibu sahihi mara zote!
 
Back
Top Bottom