Kizuri kula na mwenzio....tuache uchoyo jamani! Kha
Una kuta mtu ana mke/mme mzuri afu anataka kula mwenyewe, jamani tupendanee kwa kugawiana vidogo tulivyo navyo
Kizuri kula na mwenzio....tuache uchoyo jamani! Kha
Umenichekesha sana wallahi...laiti ungelijua wala sipo hivo...sikubali tu kuonewa bila sababu!Mwanamke waonekana mtata sana wewe...ninye ndio huwa mwajifunga vibwebwe na kuvaa vitaiti wakati wa kusutana
Hata kama kamfumania, hakutakiwa kumpiga, TGNP na TAMWA waingilie kati, unyanyasaji wa kijinsia huu.
Anaweza kufa kwa kipigo hiki, nani anajua kama hapata madhara makubwa ya ndani?
Umenichekesha sana wallahi...laiti ungelijua wala sipo hivo...sikubali tu kuonewa bila sababu!
Ushasema "kwa mfano"...hivyo hata jibu langu litakuwa bounded kwa condition uliyoweka...so am not going to answer that
Haaaa !!! Mkuu inategemea umemfuma na mtu wa aina gani..wengine ni akina "Tyson" utaacha kumwambia nenda?..u-deal na wife!!??
Ndio ni uonevu hahitaji kupigwa mtu hapo...huyo unaongea nae tu na kama hamuwezani kila mtu anashika hamsini zake!Suala la kushikwa ugoni bado tu waliona kama ni 'kuonewa bila sababu"?
TGNP na TAMWA ndio walimtolea mahari huyo bwana?...acha mtu apewe mkong'oto kidogo maana hakuna taasisi inayoshughulikia mafumanizi
Mwanaume apigwe na mkewe...Mwanmme anapozini anapigwa na nani?
Kuna mama alipigwa na mmewe, akapata majeraha kwa ndani bila wao kujua na alikuwa na ujauzito mdogo.
Baada ya wiki mbili ujauzito ukatoka, she didn't make it sababu hakuna aliyemjali.
Basi watoto wakaishia kupoteza mama, mume alioa mwingine.
Duh, huyo mwanamke naye mkali asubuhi yote hii, au alilala huko jamani, maana kama saa tatu tukio limetokea, it means around saa mbili alikuwa eneo la tukio already hata hiyo guest house huenda hawajaanza usafi maana wateja wengi unakuta wamelala bado.
Sidhani kama baada ya hapo kuna ndoa tena, na kama ipo sijui kama imani itakuja kurejea baina ya hao wanandoa, na hata yule bwana aliyeachwa aende zake kisa eti hana kosa, sijui kama huko aliko anapumua salama.
Unzinzi ni dhambi, lakini unapoufanya kwa mke wa mtu ama mume wa mtu nadhani ni dhambi maradufu, tutafakari zaidi kabla ya kufanya uamuzi ya kishetani.
Huyo dada kwa jinsi alivyokamatwa, na muda huo, hakika kwa mwanaume yeyote anaipenda ndoa yake kipigo kwa huyo dada hakiepukiki, japo nimeona wengine sijui wanasema TGNP, TAMWA nk, as if hizo taasisi zipo kuwatetea wanzizi ama ndizo zimemtuma kuzini tena asb yote hii. Kwenye ndoa tu muda kama kama hakuna sababu za msingi sana huwezi kuta wanandoa wanafanya mapenzi japo kwao ni halali kabisa na hawana kizuizi cha muda sasa wewe na wizi wako unajihimu kana kwamba ndio kazi yako, hapina wakupige tu wewe.
Ndio ni uonevu hahitaji kupigwa mtu hapo...huyo unaongea nae tu na kama hamuwezani kila mtu anashika hamsini zake!
sikubali kipigo na sitaruhusu kufumaniwa wala kufumania