Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,354
- 108,475
Ndio tatizo letu hili adhabu ya pekee tunayoijua sie ni physica and abusive violence!!
Apigwe tu....
Ndio tatizo letu hili adhabu ya pekee tunayoijua sie ni physica and abusive violence!!
Duh! Anaukika kama jamaa alikua hatambui huyo ke ni Mke wa watu?
Adabu na fundisho zuri lingepatikana kwa kuwahukumu wote!!
ila mume wa mtu mtamu.......
Kha...kwani kipigo kinafundisha?Wale wanaopigwa wameacha uzinzi?Au wizi wanaopigwa mpaka wakauliwa,imepunguza idadi ya wizi wanaoiba?Apigwe tu....
TGNP na TAMWA ndio walimtolea mahari huyo bwana?...acha mtu apewe mkong'oto kidogo maana hakuna taasisi inayoshughulikia mafumanizi
Kilichofuata baada ya hapo alimpa kichapo kikali Mwisho wa siku akambeba na kurudi naye nyumbani maeneo ya mwembetogwa ili kumfungashia mizigo yake na kumrudisha kwa wazazi wake.
Kha...kwani kipigo kinafundisha?Wale wanaopigwa wameacha uzinzi?Au wizi wanaopigwa mpaka wakauliwa,imepunguza idadi ya wizi wanaoiba?
Hivi kwa mfano ukimpiga alafu awe alishakongoroka siku nyingi akakufia wakati wa kipigo unafanyaje.......
Murder case hioo watu hawafikiriagi consequences...Hivi kwa mfano ukimpiga alafu awe alishakongoroka siku nyingi akakufia wakati wa kipigo unafanyaje.......
Hata kama alikuwa anajua bado jamaa hana obligation yoyote kwa mwenye mke. Mke ndio mwenye obligation ya kuwa mwaminifu kwa mumewe na sio kukitembeza nje.
Big up kwa huyo mume wa bidada. . .amefanya vizuri ku-deal na mzizi wa tatizo na sio matawi!!!
Ehhh huyo mkeo ana kazi...Hapa hapigwi mtu TUTAPIGANA :fencing:Kwa kuwa jamaa kaoa mke mmoja na sio wake wengi, habari ya uzinzi i juu ya huyo mke mmoja...
Mi nasema dunda mingumi ya kutosha na rudisha kwao huko akaugulie maumivu...
Ehhh huyo mkeo ana kazi...
Hapa hapigwi mtu TUTAPIGANA :fencing:
Sikubali kupigwa by any means...TRY ME watu8 lolMke wangu awe na kazi kwani nimemfumania?
Ushawahi kufumaniwa au unatamani kufumaniwa?
Iweje ujihakikishie kuwa utapigana?