Fumanizi hili Guest house Iringa

Fumanizi hili Guest house Iringa

Namuunga mkono huyo jamaa kwa namna alivyoliona kosa
Lakini hakustahili kumpiga mkewe!

Nakuunga mkono Mkuu. Alitumia busara kudeal na anayemuhusu ambaye ni mke wake. Ila namna alivuodeal naye ni uncouth!!!
 
Kapata faida kubwa moja wapo kumshikisha adabu mwanamke mzinzi.

Mbona wewe mzinzi sana lakini sikupigi, mume wangu!!! unaishia kunibembeleza na vito vya thamani na wax mpiya???? Kwa kauli yako hii sasa nakwenda kujifunza kongfuu kwa wachina, utanikomaje!!!
 
Kumegewa mke halali wa ndoa umempiga pamba soap soap, lips stick, saloon alafu jamaa linakuja kujibebea kiulaini.

inauma ukimpiga soap soap eeehh!!! wangapi mjini hapa wanapigwa soap soap na wake zao halafu ni vicheche kupindukia na wakifumaniwa na wake zao hawapigwi!!! mmeshaona mwanamke ni sehemu ya kufanyia mazoezi? na mnatuonea sababu mnajua tupo legelege! Mwanamke hapigwi kwa mkono bali anapigwa kwa mahitaji na chakula cha usiku kiwe KITAMU
 
Huyo mwanaume aloshikwa ingekua ni kaskazini, angeliwa tigo mpaka afe, dadeque
 
Mbona wewe mzinzi sana lakini sikupigi, mume wangu!!! unaishia kunibembeleza na vito vya thamani na wax mpiya???? Kwa kauli yako hii sasa nakwenda kujifunza kongfuu kwa wachina, utanikomaje!!!

Hahaha Nadidi tatizo hujawahi nifumania ukinifumania una haki ya kunidunda

inauma ukimpiga soap soap eeehh!!! wangapi mjini hapa wanapigwa soap soap na wake zao halafu ni vicheche kupindukia na wakifumaniwa na wake zao hawapigwi!!! mmeshaona mwanamke ni sehemu ya kufanyia mazoezi? na mnatuonea sababu mnajua tupo legelege! Mwanamke hapigwi kwa mkono bali anapigwa kwa mahitaji na chakula cha usiku kiwe KITAMU

Inauma sana mi ndo maana nimefanya mgomo baridi wa kukupendezesha haiwezekani ung'ae alafu vibaka wakuopoe kiulaini na kwenda kukumega
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Nadidi tatizo hujawahi nifumania ukinifumania una haki ya kunidunda

Ngoja tu nisikuaibishe

Inauma sana mi ndo maana nimefanya mgomo baridi wa kukupendezesha haiwezekani ung'ae alafu vibaka wakuopoe kiulaini na kwenda kukumega

Namimi naweka mgomo pia, kale huko huko
 
Last edited by a moderator:
Angalia usije ukaachika ukiendelea na msimamo huo

Serengeti boy kibao mjini hapa, si najimuvuzishia huko! tena hawa wanajua kazi kwelikweli he he he hee heeeee...... jaribu, nijaribu
 
Kwa wanaojua sheria hii imekaaje???
JAMAA+AKIONDOKA+NA+MKEWE.jpg


Jamaa amembeba juu juu kama gunia la maharage
 
Wakati mwingine wanaume ni wakulaumiwa,wewe unamgegeda mkeo kama dada yako kwa nini asiende nje????Mpe suluba ikiwezekana kila siku(1x3)uone kama hamu ya nje atakuwa nayo,kwa wiki unagegeda mara moja huku anakula chipsi mayai kumbe ny...e atazitoa nani??????TAFAKARI NA KISHA CHUKUA HATUA
FUMANIZI+1.jpg

Hapa akiwa amelala hajitambui baada ya kupata kipigo

FUMANIZI+2.jpg

Hapa wananchi wakiwa wanashudia jamaa akimpa kichapo mkewe baada ya kumfumania
JAMAA+AKIONDOKA+NA+MKEWE.jpg

Picha hii jamaa amembeba mke wake baada ya kumfumania na kumpa kipigo kikali wakielekea nyumbani.

Tukio hili limetokea leo asubuhi mida ya saa 8.00,katika mji wa Iringa maeneo ya mwangata paparazzi wetu alifanikiwa kulinasa hili tukio.

Jamaa mmoja jina halikuweza kupatikana amemfumania mkewe gesti baada ya kumfumania alichokifanya ni kumruhusu yule mwanaume aliyemfuma na mke wake nakusema jamaa hana kosa mwenye kosa ni mke wake.

Jamaa akazidi kufunguka nakusema mke wake alitakiwa kukataa alipotongozwa moja kwa moja mke wangu ndiye mwenye makosa huyu mgoni hana kosa kabisa.Kilichofuata baada ya hapo alimpa kichapo kikali kama unavyoona kwenye picha.

Mwisho wa siku akambeba na kurudi naye nyumbani maeneo ya mwembetogwa ili kumfungashia mizigo yake na kumrudisha kwa wazazi wake.
 
hapa sheria ya kitandani ni kumtandika tu na ukimfikisha nyumbani unachukua sheria kiunoni alafu unamfungashia akwende kwao.

Mwanamke hapigwi babu wewe..........saa nyingine tatizo ni wewe kaamua kwenda

Kupunguza ukame mtaa wapili!!!!!!!!
 
Jamaa akazidi kufunguka nakusema mke wake alitakiwa kukataa alipotongozwa moja kwa moja mke wangu ndiye mwenye makosa huyu mgoni hana kosa kabisa.Kilichofuata baada ya hapo alimpa kichapo kikali kama unavyoona kwenye picha.

Jamani si lazima huyu mdada ana matatizo kiasi hicho ebu tuangalie upande mwngine; Je huyu mkaka anamtosheleza huyo mdada? Kilichojificha huyo waliefumaniwa naye si ajabu ni wa longtime aliyekuwa anamtosheleza.
 
Haoni kama atakua ametoa adhabu mbili kwa kosa moja??????

Nina wasiwasi na hilo la kumrudisha kwao, atakua amehofia kufungwa kwa kujichukulia sheria mkononi
 
Hivi kwa mfano ukimpiga alafu awe alishakongoroka siku nyingi akakufia wakati wa kipigo unafanyaje.......


na wanakufaga kweli , tena kibao kimoja tu mtu ananyooka,,,,,,,,,mpaka uchunguzi ukamilike uachiwe , ushapoteza mengi..........
 
Mimi siku zote huwa najitaidi sana kumfanya mtu wangu asitoke njee kwa kuhakikisha majukumu yangu kama mwanaume nayatimiza kila idara. Hata akitoka nikajua sitompiga, tachunguza madhaifu yangu kwanza. Nitaongea naye, tufike muhafaka yaishe siku hiyo hiyo. ile dhana ya mwanaume ndio mwenye haki ya kwenda nyumba ya kando, mwanamke ikitokea imepitwa na wakati. kabla ya kutoa hukumu, jiulize wewe upo vyema. Tutazungumza mara ya kwanza, ya pili ya tatu. Asipo nisikia, namwambia mama kwa heri ya kuonana. Si dhani kama ni vyema kumpiga alafu usiku kitandani unamwambia sogea huku.


easy saying than doing mkuu,,,,,,,,,,,,

usiombe yakukute , ile kitu yote uliyokuwa una-feel juu yake huyeyuka kama barafu jangwani.
 
Back
Top Bottom