Fumanizi hili Guest house Iringa

Fumanizi hili Guest house Iringa

na wanakufaga kweli , tena kibao kimoja tu mtu ananyooka,,,,,,,,,mpaka uchunguzi ukamilike uachiwe , ushapoteza mengi..........

Na majuto ni siku zote ni mjukuu........Hasira huwa inakuwepo lakin its better ukajua how

to control your anger.........
 
Na majuto ni siku zote ni mjukuu........Hasira huwa inakuwepo lakin its better ukajua how

to control your anger.........


kuna mmoja juzi juzi mwanza hapo kampiga dogo kibao , dogo hapo hapo akanyooka chali,,,,,,,,,, jamaa kapigwa ndani , mara ya mwisho nasikia kunakamchakato wa kuhonga kama 20M ili alione jua tena uraiani.
 
kuna mmoja juzi juzi mwanza hapo kampiga dogo kibao , dogo hapo hapo akanyooka chali,,,,,,,,,, jamaa kapigwa ndani , mara ya mwisho nasikia kunakamchakato wa kuhonga kama 20M ili alione jua tena uraiani.
Unadhani hatujui basi....ya kujifanya we Bingwa wa mwili wa mwenzako...... waweza kushangaa unapata Murder case buree.........haya mambo tunayaona sana huku mitaani .............
 
Hata kama alikuwa anajua bado jamaa hana obligation yoyote kwa mwenye mke. Mke ndio mwenye obligation ya kuwa mwaminifu kwa mumewe na sio kukitembeza nje.

Big up kwa huyo mume wa bidada. . .amefanya vizuri ku-deal na mzizi wa tatizo na sio matawi!!!

Katika wanawake wenye maneno ya hekima wewe nimekufurahia inawezekana mwaminifu sana wewe....wengine wangemtetea huyo mwanamke kisa tu mwanamke mwenzao. Keep it up Madam nimekufagilia thanaaaaaaaaaaaaa aitheeeeeee
 
Na kwanini anipige kama kanifumania?kwani hana mdomo?


kwanini na wewe u-cheat kwani yeye hana pe.nis?,,,,,,,,,,,,,hiyo ni reaction tu ya mhusika , na tunatofautiana kwenye kulipokea jambo kama hilo........
 
Unadhani hatujui basi....ya kujifanya we Bingwa wa mwili wa mwenzako...... waweza kushangaa unapata Murder case buree.........haya mambo tunayaona sana huku mitaani .............


kuna nyingine Muheshimiwa fulani alikuja na ndugu yake captain wa jeshi wanataka huduma fulani hivi kazini , nikashanga mheshimiwa yupo very close na mimi na mipango kibao mwisho wa siku kumbe huyo ndugu yake alikuwa na kesi polisi ya kumrestisha in peace kibaka kwa kushirikiana na wananchi wengine alipojaribu kumuibia,,,,,,,,,, kumbe alikuwa anataka nimjazie document fulani hizi , kwa opinion za utaalamu wangu ili ile kesi ifutwe..........

haya mambo ya kupiga piga watu hayafaa , huwezi jua D-Day yako ni lini.........
 
kuna nyingine Muheshimiwa fulani alikuja na ndugu yake captain wa jeshi wanataka huduma fulani hivi kazini , nikashanga mheshimiwa yupo very close na mimi na mipango kibao mwisho wa siku kumbe huyo ndugu yake alikuwa na kesi polisi ya kumrestisha in peace kibaka kwa kushirikiana na wananchi wengine alipojaribu kumuibia,,,,,,,,,, kumbe alikuwa anataka nimjazie document fulani hizi , kwa opinion za utaalamu wangu ili ile kesi ifutwe..........

haya mambo ya kupiga piga watu hayafaa , huwezi jua D-Day yako ni lini.........

Hayajakukuta....na kama hujui kinachoongeza mzuka si kumpenda sana ila unawaza mengi kama "inamaana jamaa amemkunja kuku wangu ninavyomkunjaga!!!!" hapo hata death penalty huwazi aitheeeeee
 
ile kufumaniwa ni fedheha tosha.......hata nguvu za kupigana utakuwa nazo

basi.....hapo unakuwa mdogo kama piritoni......

Ila ktk dawa nzuri ninayoipenda kwa wezi (mgoni na wife) ni ile ya kuwagundisha yaani kuwanatisha ile poa thanaaaa unawakuta na pozi(style) lao waliloanza nalo
 
Back
Top Bottom