Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 27,190
- 50,680
Hahahaha sisi tumewaachia nyie malimbukeni fc..maana hakuna jipya pale..Nikikumbuka nacheka sana aisee
Hahahaha sisi tumewaachia nyie malimbukeni fc..maana hakuna jipya pale..Nikikumbuka nacheka sana aisee
Hahahaaa, huyo okrah alikosa namba simbaNje hapo kuna Okrah Magic, Guede, Max. Hawa ni wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Simba kabisa.
Itakuchukua miaka 5 kurudi kwenye akili yako timamu kipigo kitakatitfu cha November 5 kimeacha wahanga wengiTimu ilivyonunuliwa na madelu tu nikaelewa hakuna jipya tena
Simba akimpiga yanga bao 5 ujue 5 kwa bilaItakuchukua miaka 5 kurudi kwenye akili yako timamu kipigo kitakatitfu cha November 5 kimeacha wahanga wengi
Jipya ni hiliHahahaha sisi tumewaachia nyie malimbukeni fc..maana hakuna jipya pale..
Kama hii iliyopigwa tano iliponunuliwa na MO tuu tukajua hakuna kituTimu ilivyonunuliwa na madelu tu nikaelewa hakuna jipya tena