FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Na golikipa naye ni pazia vilevile
Mabeki vilaza
Ma forward ndio vilaza wa kutupwa,akina Samantha sijui..heri wangechukuliwa hata maforward wa ihefu kuliko kikosi watu wanagawana namba kwa kuangalia majina.
Golikipa wa Simba Salim ni mzuri kuliko Manula ..ila kwa sababu wamepeana nafasi kindugu acha wavune walichopanda.

Na golikipa wa Zambia anavyodaka,
Tanzania ni miongoni mwa timu itakayotoka kwenye mashindano haya na magoli sifuri.
Aibu ikupate na wewe
 
Back
Top Bottom