Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,507
- 7,511
Sio kweli, hawachezi vizuri kabisa. Hata kujipanga ni shida angalia vzr mkuu.Mbona wanacheza vizuri tu kulingana na mechi yenyewe? Lawama acheni.
Labda Bocco ndiyo tuseme anazurula tu
Sio kweli, hawachezi vizuri kabisa. Hata kujipanga ni shida angalia vzr mkuu.Mbona wanacheza vizuri tu kulingana na mechi yenyewe? Lawama acheni.
Labda Bocco ndiyo tuseme anazurula tu
Toa ujinga na lawama, Singida hawachezi kwa uungwana ni vurumai tuAngalia mpira waki hold Singida na waki hold Simba utaona tofauti.
Nyinyi Wasubirini size yenu Jamus..!Sio kweli, hawachezi vizuri kabisa. Hata kujipanga ni shida angalia vzr mkuu.
Hao wote walifungwa na Yanga, na kuna mmoja alipigwa tanoNyinyi Wasubirini size yenu Jamus..!
Hizi ni Level tofauti kbs...
Na wote waliifunga IhefuHao wote walifungwa na Yanga, na kuna mmoja alipigwa tano
Kwa nini mkuuSimba akishinda hapa,patakuwa story tofauti kabisaa
Unataka usemeje?Tangu lini Kanoute amekuwa mpiga foul wa team?
Team kubwa hufungwa na team ndogo pia, huo ndio mpira na matokeo yake.Hao wote walifungwa na Yanga, na kuna mmoja alipigwa tano
Mimi Simba hadi Kadi nnayo, naumia kishenzi inavyocheza butuabutua hii. Wachezaji wanacheza faul zisizo na mantiki yoyote. Stamina hakuna, utulivu hakuna, poor communication kati yao, pass accuracy zero kabisa,Nyinyi Wasubirini size yenu Jamus..!
Hizi ni Level tofauti kbs...