kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,366
- 10,105
Bundi kwenye 18 la Singids
Kitaalamu hii hali yako inaitwa 'Malyenge'...!Mimi Simba hadi Kadi nnayo, naumia kishenzi inavyocheza butuabutua hii. Wachezaji wanacheza faul zisizo na mantiki yoyote. Stamina hakuna, utulivu hakuna, poor communication pass accuracy zero kabisa,
Ngoma ngumu hiyoBundi kwenye 18 la Singids
Umeona makosa naoyasema lakini ya passa accuracy, poor communication na kutojipanga vizuri kwenye nafasi zao??Wanaume Wanapambana...Sio Jamus hawa
Sijui kigezo gani wanatumia kumuweka bench yule dogo Mohammed MussaBoko hamna kazi
Tengeneza timu Yako toa lawama za kijinga, singida wanakuja kwa nguvu na rafu za kutosha bado una lalamika?Umeona makosa naoyasema lakini ya passa accuracy, poor communication na kutojipanga vizuri kwenye nafasi zao??
Tumelisikia ombi lakoSingada nipigieni kenge hao
Mkuu mbona kama ilipiga kwenye mwamba wa ndani?Ilidundia nje kabisa sema hizi Camera za Azam miyeyusho sana