Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,917
Tumepiga mtu na shoga yake,lazima mjambe jambe mishuzi mbwambwambwaaaaaaMatch ya hovyo
Tumepiga mtu na shoga yake,lazima mjambe jambe mishuzi mbwambwambwaaaaaaMatch ya hovyo
Tumepiga mtu na shoga yake,lazima mjambe jambe mishuzi mbwambwambwaaaaaa






Hawa jamaa leo wanafuta uzwazwa watazindua channel yao huko whatsapp ili waanze kukimbizana na timu kubwa kubwa duniani.Uto wameshajijaza ujinga kwamba timu yao ni bora sana
Mkoko wenu uliishia wapi?Hata kama hatuna cha kupoteza, sisi Singida tunaweka full mkoko. Kama kukamia na nyinyi mtukamie tu halafu tukutane baada ya dk90
Mkoko wetu ulizingua sana, back pass zilizidiMkoko wenu uliishia wapi?
Hakuna mahali mngeenda! kwa kifupi Simba na yanga zikiamua kuingia kwenye haya mashindano serious watakuwa wanabadilishana nani achukue this time na nani achukue next time.Mkoko wetu ulizingua sana, back pass zilizidi
Azam wapo vizuri, we subiri round zinazofata wakikutana na Simba au Yanga. Singida jana sijui waliiogopa Simba ama vipi, pasi nyingi kinoma zilipotea. Simba pale mbele wangekuwa vizuri walikuwa wanaondoka na magoli mengi tu.Hakuna mahali mngeenda! kwa kifupi Simba na yanga zikiamua kuingia kwenye haya mashindano serious watakuwa wanabadilishana nani achukue this time na nani achukue next time.
Bado kwa bongo hatujawa na timu serious za kupambana na Simba au Yanga.
hahahaaaahaaaaaaaaaUngemleta mmeo acheze namba 5 dada
UwiiiiiBaba tamuu ameshani changamsha kimokoo kwan, napiga umbea JF.
na venye wote ni lunyasi, bas tunadevelekaaa tyuuh.
hallah![]()
Njoo uzoe mavi yakoSingida 2-kolo 0
![]()