ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,827
- 27,259
Kula chuma hichoMwanzo wa uzi tunaanzaga wengi, ila kwenye kumaliza tunakuwaga wachache
Kula chuma hichoMwanzo wa uzi tunaanzaga wengi, ila kwenye kumaliza tunakuwaga wachache
Upo sahihi. ..wanasubiri mnyama ashindwe wapate chakuongea. ..vita hii nikubwa sn. ..ilasingai kilapenye mafanikio hapakosi fitinaSiku hizi sisemi mapema maadui wetu ni wengi lakini kwa Mkapa hatoki mtu kama kawa..!
Ngoja niihifadhi risiti yako ya pili kwa picha za marejeo baada ya mechi.Kwa Chama hao wote ni Zuchu tu
Asante kwa kibwagizo cha picha hilo lakutisha, NGUVU MOJA.simba sports club.
Wanalunyasi.
Taifa kubwa.
Samba loketo.
Mwana kulitaka.
Mwana kulipata.
Wazee wa kidedea.
Timu iliyobarikiwa na MUNGU na inayosakata kabumbuView attachment 2595856
Tupo pamojaMimi nipo kusubiria tu matokeo.
Hizo tano zitabaki kupigwa nyie tuu haitatokea kwa mnyama abadaaaniiMakolo wapigwe na kitu kizito leo wapigwe goli zisizopungua 5 ili akili ziwakae sawa
Did MubarakHayawi hayawi sasa yamekuwa, ile game ngumu na ambayo inafuatiliwa kwa ukaribu sana na watu wote wapenda soccer la africa, game ya robo final ya caf champions league baina ya miamba kwelikweli, timu zenye misuli ya kutosha, Simba sports club vs Wydad athletic club. Ni palepale machinjioni ambapo yeyote akitia maguu pale, hutoka vichwa chini miguu juu.
Hakika mnyama anaitaka hii mechi na hayupo tayari kuona anagota robo final pekee.
Wachezaji mahiri wa mnyama wote watakuwepo kutupa raha watz wote na bila shaka leo kila mtu ataishabikia
simba sports club.
Wanalunyasi.
Taifa kubwa.
Samba loketo.
Mwana kulitaka.
Mwana kulipata.
Wazee wa kidedea.
Timu iliyobarikiwa na MUNGU na inayosakata kabumbu lililothibitishwa na caf na kufurahiwa vilivyo na fifa mpaka kupelekea sikukuu ya eid icheleweshwe hapa nchini kwetu pekee ili kuingoja mechi hii ya kibabe.
Nikuanzia saa 10:00 jioni, tuwe wote mwanzo mpaka mwisho kwa updates zote.
Eid mubarakh
Sema afrika mashariki na kati ya mbali itakuwa imeshinda, tena boli itatembea dadeq.Simba sc akishinda leo itakuwa ivi
TANZANIA imeshinda
Africa mashariki imeshinda
Africa imeshinda
Pili pili iliyo shamba...Utapotoshwa
Ngoja nikae kimya watu watoe nyongo zaoKula chuma hichoView attachment 2595891
Yanga IMESHINDWASimba sc akishinda leo itakuwa ivi
TANZANIA imeshinda
Africa mashariki imeshinda
Africa imeshinda