Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,501
- 11,991
Ulitakiwa uitwe MUOKOTA MAKOPO🤣🤣😂😂😂🤣Kila la heri wydad.
SIMBA GUVU MOYA 🦁🦁
Ulitakiwa uitwe MUOKOTA MAKOPO🤣🤣😂😂😂🤣Kila la heri wydad.
simba sports club.Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ile game ngumu na ambayo inafuatiliwa kwa ukaribu sana na watu wote wapenda soccer la africa, game ya robo final ya caf champions league baina ya miamba kwelikweli, timu zenye misuli ya kutosha,
Simba sports club
vs
Wydad athletic club
Ni palepale machinjioni ambapo yeyote akitia maguu pale, hutoka vichwa chini miguu juug
Hakika mnyama anaitaka hii mechi na hayupo tayari kuona anagota robo final pekee.
Wachezaji mahiri wa mnyama wote watakuwepo kutupa raha watz wote na bila shaka leo kila mtu ataishabikia
simba sports club.
Wanalunyasi.
Taifa kubwa.
Samba loketo.
Mwana kulitaka.
Mwana kulipata.
Wazee wa kidedea.
Timu iliyobarikiwa na MUNGU na inayosakata kabumbu lililothibitishwa na caf na kufurahiwa vilivyo na fifa mpaka kupelekea sikukuu ya eid icheleweshwe hapa nchini kwetu pekee ili kuingoja mechi hii ya kibabe.
Nikuanzia saa 10:00 jioni, tuwe wote mwanzo mpaka mwisho kwa updates zote.
Eid mubarakh
Mimi ninawatahadharisha wachezaji hatari maana ni mpenzi wa ligi juu ya Morroco ,hao wote ni wakuchungwa kuna mmoja anaitwa Walid Al Katri hayupo pichani huyo ni Neymar mtupu naogopa nikimuweka hapa nitazua taharuki.View attachment 2595841
UtapotoshwaMshana Jr Ramli zinasemaje huko, kuna ushindi kweli?
Kula chuma hichoSiku hizi sisemi mapema maadui wetu ni wengi lakini kwa Mkapa hatoki mtu kama kawa..!
Naona hujaitakia Wydad ushindi kama ulivyozoea kwenye kila timu inayocheza na SimbaMimi nipo kusubiria tu matokeo.
Kwa Chama hao wote ni Zuchu tuMimi ninawatahadharisha wachezaji hatari maana ni mpenzi wa ligi juu ya Morroco ,hao wote ni wakuchungwa kuna mmoja anaitwa Walid Al Katri hayupo pichani huyo ni Neymar mtupu naogopa nikimuweka hapa nitazua taharuki.View attachment 2595841
Mwanzo wa uzi tunaanzaga wengi, ila kwenye kumaliza tunakuwaga wachacheEid MubarakView attachment 2595853