United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 2,779
- 5,460
inonga ana pass accuracy kubwa sana ana uwezo wa kucheza pasi zote unazotaka wew ukitaka ndefu anapiga ukitaka fupi anapiga huyu jamaa ndio beki Bora wa wakati wote aliyewah cheza Tanzania na issue ya kibu kubadilika hii inatoa tafsri taifa letu Lina mfumo mbovu sana wakukuza wachezaji na uchache wa wakufuzu watalamu wa soka nchi yetu ina safari ndefu sana kufika mbali kisoka