Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 21,996
- 47,252
Sijui kwanini kocha hamfundishi aachane na ubinafsi.Ubinafsi sana
Sijui kwanini kocha hamfundishi aachane na ubinafsi.Ubinafsi sana
au utakuta na wao wapo banda umiza wanauangalia ushindi hadi wamesahau majukumu, muda huu ndo muda wa kuivuruga JF maana walinzi hakuna.Modes wa leo ni utopolo, tuwasamehe tu.
Tulikuwa tuna la 3 hapo kama angetoa assistAnaniudhi sana mie kwa kweli. Aaah.
Wamekutana na timu bora sanaWachezaji wa Azam wakimaliza inabidi wakapewe mbandandu
sahihiWamekutana na timu bora sana
😂😂😂 huogopiii?au utakuta na wao wapo banda umiza wanauangalia ushindi hadi wamesahau majukumu, muda huu ndo muda wa kuivuruga JF maana walinzi hakuna.
Nina mbaya wangu humu naomba nitumie hii fursa kummaliza
Hakuna kituZidane out
Anaingia Sopu
Yaan huyu ndio huwa anatufelisha kwenye match sometimes.Tulikuwa tuna la 3 hapo kama angetoa assist
Basi Mode atakuwa topolo. Simba inapigwa vita kila kona.heading huwa haibadilishwi na alieanzisha thread bali moderator tu.
Haswaa! Team ipo bhanaTusiwalaumu Azam.
Wamekutana na timu nzuri na kali
Wanajifanya hawaoni, sijui wakojee mxxxiiieeew zao, hatuwaogopi wala nini.